Elections 2010 Nilikuwa mkereketwa wa CHADEMA lakini nimejitoa

Ni Fisadi Kiwembe...

slaa%26Rose.jpg


josepheni1.jpg

Hatakuwa Rais wa kwanza Tanzania kuwa na wake wawili kama hujui...ona hawa wa Ustaadh Mwinyi

DSCF3309.JPG
 
,,,,,,,,,,,,,,,,,,Baya zaidi ni swala la CHADEMA kukosa mtandao visiwani tofauti na wenzao wa CUF na ndio maana CHADEMA walihangaika sana kumpata mgombea mwenza mwishowe wakampata mhitimu wa darasa la saba mchuuza samaki wa soko la Darajani Unguja Said Mzee Said ambaye kwa wengi kimtazamo anaonekana kulazimishwa kuogelea kwenye maji ambayo kina chake si saizi yake hata kidogo na hii diyo sababu mheshimiwa huyu havai gwanda la CHADEMA jukwaani tofauti na viongozi wengine wa CHADEMA.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Nova Kambota Is Always A gentle Man Feel Proud To Visit His Site, call 0717-709618 or 0783-610926,email;novakamota@gmail.com
 
Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya chama) niliamua kujitoa.

Mnajua huyu mtu namfahamu, hana uwezo kabisa wa kuongoza nchi hii yenye wakazi zaidi ya watu 35 milioni. Uwezo wake kuongoza jimbo tu, na hivyo alistahili kuwa mbunge mpaka atapostaafu mwenyewe.

Sababu tano zinazomfanya kutofaa kuwa Rais:

1. Ataigawa nchi vibaya sana.

2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1)

3. Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi.

4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu)

5. Hana sera yeyote ile ya uchumi.


Hayo ni machache tu lakini udhaifu wake ni mwingi mno.

Ni heri kubaki bila chama kuliko kumpigia debe Mh Slaa. Ndio maana niliamua kukihama chama.



karibu sana CCM kwa mikono miwili nakukaribisha sana sana
 
Zawadi Ngoda,

Kwanini unatumia jina la ukweli la mtu- kibaya zaidi mwenye hilo jina unamfahamu au kwa vile unajua hawezi kutembelea hapa. Hebu punguza PCRA zako

Je nimueleze mwenye jina halisi ?
 
...Unaonyesha ulivyo mtoto wa Juzi. Hayo mavazi unayosema yanatisha wananchi ndio mavazi ya kwanza ya JKT tuliyovaa sisi kabla hamjaleta ma-green vest yenu ya kijani na makombati yake! Wananchi hawakutishika wakati huo itakuwa hawa wa kizazi cha dotcom??
Halafu sio mavadhi, ni Mavazi. Kaza ulimi huo...mjini hapa!

Kafulilo alipokihama CHADEMA alitoka hadharani na kueleza sababu za kuhama chama. Watanzania wote wakamsikilza na kumuelewa, hakuna aliyemueleza kwanini unatutaarifu kuwa umehama chama, si uamuzi wako au ni demokrasia n.k. Halikadhalika kwa Tambwe.

Leo masikini Zawadi nawaeleza sababu zangu za kuhama Chama mmekasirika na kunishutumu, eti dhambi yangu ni kuueleza umma tukio hilo. Binafsi nimeona ni muhimu sana kuwaeleza washiriki wenzangu si tu kwanini nimehama chama vile vile ni kuweka wazi kwanini 'KURA YANGU SITOMPA Mh Slaa'. Kweli binafsi sioni kama hilo ni kosa. Kwani ni kosa wewe kueleza kwanini hutampa kura yako 'Kikwete'?

Mmesema Mavazi si Muhimu, well, waulizeni wanasaikolojia Mavazi ya mtu yanavyoweza kumueleza mtu mwenyewe. Kifupi nilieleza hisia zangu na naeleza tena na tena hivyo ndivyo mimi ninavyohisi juu ya mavazi ya CHADEMA. Kuna aliyesema hata wakivaa mavazi ya KOMANDOO si kitu, hapana kwangu ni kitu.

Mwisho napenda kuwapa ishara za wakati: Huu ni wakati AMBAO UPEPO umemlenga JK na kumpeleka kikwete Ikulu.

Ujumbe wa leo: Nchi hii atakabidhiwa mtu aliye na vision ya uchumi-Kikwete, Rais ambaye popote afahamikapo duniani humuona kama ZAWADI kwa Afrika na Tanzania.
 
1. Nakubaliana nawe ila mgawanyo unaouzungumzia nimatokeo ya kukubali ubepari ambapo watanzania wote tumakubali reform hiyo. lakini Mh Slaa akiingia madarakani mgawanyo utazidi mara mbili kwa sababu hatapata support bungeni na atalazimisha kukaa na wabunge 30% kwa nguvu. Ktk nchi zilizooendele mambo yakienda kombo wanajiuzulu mfano(Baruso- Italy)- sasa huyu atafanya nini.
Sio watanzania wote waliokubali hiyo reform, tulikuwa hatuna jinsi bali kukubali kutokana na matakwa ya nchi wahisani, IMF na WB. Wewe umejuaje Dr. Slaa atapata wabuge asilimia 30%? Vile vile sidhani kama katiba inazuia kuchagua mawaziri kutoka vyama vingine, ila kwa kuwa unafikiria ki-CCM unaona mambo ya serikali ya mseto ni kitu kisichowezekana.

BTW Baruso ndio nani?

2. Na 30% hawezi kuleta demokrasia hilo sina haja hata ya kulijadili.
No, no taratibu tafadhali, wewe umesema atapata wabunge 30% sasa inabidi utueleze umejuaje atapata idadi hiyo na kwa vipi demokrasia itakosekana? Demokrasia hailetwi na idadi ya wabunge bungeni ingekuwa hivyo basi CCM wangekuwa mabingwa wa demokrasia(tumeshuhudia jinsi walivyochafuana bungeni na wakati wa kura za maoni). Demokrasia inaletwa na serikali inayofuata utawala wa kisheria na kuheshimu haki za binadamu na raia wake.

3. Umetoa mfano wa Mkapa, lakini unajua Mkapa aliua wangapi Dar. Wengine hata alikuwa hasalimiani nao kwa kushikana mikono, ukweli Makamba na Mahita ndio walikuwa wasemaji wakuu wa Mkapa Dar. Unaweza ukafikiri hilo Dogo, lakini hata Mwl alitumia mbinu nzuri sana ya kuishika Dar (ni mjadala mrefu huu staingia kiundani). UD walipoandamana wakati wa Mwinyi aliwaita wazee wa Dar na kuwa hutubia, halikadhalika Kikwete mambo yalipomuendea kombo na wafanyakazi. Gadafi alihamisha makao makuu kwenda Tripoli baada ya kuchukiwa kule makao makuu-fuatilia.
Wewe unayejua tuambie Mkapa aliua wangapi Dar? Alafu kuhusu Gadaffi na kuamishia makao makuu kwenda Tripol ni UONGO mkubwa, kabla ya mapinduzi ya Sept 1 1969 makao makuu ya Libya yalikuwa ni Tripol hiyo hiyo sasa wewe hii sijui umetoa wapi.

4. BabaDesi kashamaliza, mimi sina la kusema. Hivi unahisia gani ukiyaona mavazi ya fuatayo: Mgambo, JKT, Polisi, JWTZ. Tunaweza kuiwa katika hisia tofauti, lakini mimi huwa najua kuna jambo limetokea. Wahuni huwaita wazee wa kazi.
Hizo ni hisia zako, mtu mwingine anaweza kuja na hisia zake na kudai mavazi ya kijani ya CCM ni sawa na ya jeshi letu. CHADEMA wameanza kuvaa magwanda kabla ya hata Dr. Slaa hajateuliwa kuwa mgombea urais wewe umeyagundua hayo leo ulikuwa wapi wakati Mbowe na wenzake wanayavaa kipindi cha nyuma?

5. Nakubaliana nawe, lakini hapa kazi ipo. Kusema bungeni ni kitu kingine lakini kuwa katika utendaji ni jambo jingine kabisa. Hii ni jinsi mimi ninavyomuona huyu Mheshimiwa, na ndio maana nimesema mara nyingi kuwa bado ninamkosa kama mbunge. Hapa tunaweza tukatofautiana lakini si kitu na ndio maana ya kura.
Hahaha eti bado namkosa kama mbunge, ebo kwani bunge limevunjwa lini?

Any way nimejibu kifupi sana ili nisiwachoshe wasomaji.
Kwa mara nyingine tena unatoa majibu vague kwa kisingizio cha kuwa eti sitaki kuwachosha.
 
Kafulilo alipokihama CHADEMA alitoka hadharani na kueleza sababu za kuhama chama. Watanzania wote wakamsikilza na kumuelewa, hakuna aliyemueleza kwanini unatutaarifu kuwa umehama chama, si uamuzi wako au ni demokrasia n.k. Halikadhalika kwa Tambwe.

Leo masikini Zawadi nawaeleza sababu zangu za kuhama Chama mmekasirika na kunishutumu, eti dhambi yangu ni kuueleza umma tukio hilo. Binafsi nimeona ni muhimu sana kuwaeleza washiriki wenzangu si tu kwanini nimehama chama vile vile ni kuweka wazi kwanini 'KURA YANGU SITOMPA Mh Slaa'. Kweli binafsi sioni kama hilo ni kosa. Kwani ni kosa wewe kueleza kwanini hutampa kura yako 'Kikwete'?

Mmesema Mavazi si Muhimu, well, waulizeni wanasaikolojia Mavazi ya mtu yanavyoweza kumueleza mtu mwenyewe. Kifupi nilieleza hisia zangu na naeleza tena na tena hivyo ndivyo mimi ninavyohisi juu ya mavazi ya CHADEMA. Kuna aliyesema hata wakivaa mavazi ya KOMANDOO si kitu, hapana kwangu ni kitu.

Mwisho napenda kuwapa ishara za wakati: Huu ni wakati AMBAO UPEPO umemlenga JK na kumpeleka kikwete Ikulu.

Ujumbe wa leo: Nchi hii atakabidhiwa mtu aliye na vision ya uchumi-Kikwete, Rais ambaye popote afahamikapo duniani humuona kama ZAWADI kwa Afrika na Tanzania.

Ningeandika neno moja tu - crap. Kwa vile invisible na wenzake wanataka wanifungie iwapo nitaandika neno crap, so nitajizuia na sitaandika kuwa hii crap uliyoweka hapa ni crap kuliko crap zote za crapville.

Sababu ya kuiita hii kuwa ni crap (ili nisifungiwe), ni kuwa watu wa crapville, hupenda sana kuandika crap kama hizi.
 
,,,,,,,,,,,,,,,,,,Baya zaidi ni swala la CHADEMA kukosa mtandao visiwani tofauti na wenzao wa CUF na ndio maana CHADEMA walihangaika sana kumpata mgombea mwenza mwishowe wakampata mhitimu wa darasa la saba mchuuza samaki wa soko la Darajani Unguja Said Mzee Said ambaye kwa wengi kimtazamo anaonekana kulazimishwa kuogelea kwenye maji ambayo kina chake si saizi yake hata kidogo na hii diyo sababu mheshimiwa huyu havai gwanda la CHADEMA jukwaani tofauti na viongozi wengine wa CHADEMA.,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Nova Kambota Is Always A gentle Man Feel Proud To Visit His Site, call 0717-709618 or 0783-610926,email;novakamota@gmail.com


Holy Crap
 
Dada Zawadi since when were you Chadema? Kwa ninavyo kumbuka thread zako zote zilikua zina husu uongozi mzuri wa CCM na Jk. Hata siku moja personally sija wahi ona thread au post yako yoyote inayo onyesha kwamba wewe ni supporter wa Chadema. Be real Miss Zawadi hii ni Demokrasia una uhuru wa kuwa chama chochote uki takacho kwa hiyo hamna haja kuchovya tonge kila sehemu ila ukweli ni kwamba you are not a supporter of Chadema, you have never been a supporter of Chadema & I doubt you will ever be. Unaogopa nini kusimamia mtazamo wako halisi?

Mwanafalasfa, wala usipate shida mkuu. Kuna watu udini uko damuni. Huyu dada hajali cha maslahi ya nchi wala nini yeye anaangalia nani ni wa dini yake basi. Huyu dada ni mdini sana.

@Zawadi Ngoda,
Nakuhitaji kwenye jukwaa la dini kule...hapa ondoka hapakufawi Mkuu!

Afadhali wewe unamfahamu vizuri dadako.
 
Mwanafalasfa, wala usipate shida mkuu. Kuna watu udini uko damuni. Huyu dada hajali cha maslahi ya nchi wala nini yeye anaangalia nani ni wa dini yake basi. Huyu dada ni mdini sana.



Afadhali wewe unamfahamu vizuri dadako.

Haya Kafulilo anarudi Bungeni lakini si kwa tiketi ya CHADE, huko mbunge wa CHADE ni hoi . Lakini usijali

Any way, nisikilize ndugu yangu najua CHADE iko Damuni, KWAKO CHADE NI MUHIMU KULIKO NCHI. Hivyo ndivyo ulivyo, hata kama wakisema wataharibu mazingira na vyanzo vyote vya maji. Polellllllllllllleeeeeee. Tutakutana baada ya 31.10 sijui utajificha wapi. Nimehifadhi hizi ndoto zako, kukicha 31.10 nitaurisha mkanda nyuma nakuzipaste hapa JF.
 
Haya Kafulilo anarudi Bungeni lakini si kwa tiketi ya CHADE, huko mbunge wa CHADE ni hoi . Lakini usijali

Any way, nisikilize ndugu yangu najua CHADE iko Damuni, KWAKO CHADE NI MUHIMU KULIKO NCHI. Hivyo ndivyo ulivyo, hata kama wakisema wataharibu mazingira na vyanzo vyote vya maji. Polellllllllllllleeeeeee. Tutakutana baada ya 31.10 sijui utajificha wapi. Nimehifadhi hizi ndoto zako, kukicha 31.10 nitaurisha mkanda nyuma nakuzipaste hapa JF.
Jibu maswali niliyokuuliza hapo juu.
 
haki ya nani kama kuna mtu kaishiwa ni huyu. kama kuna mwa JF anayefaham kiwango cha elimu ya huyu jamaa naombeni muiweke hapa. ana uwezo mdogo sana wa kufikiri.
 
ULIKUWA AUNAOTA AU VIPI NJAA SEMA NAYO ILA UTAKUWA MJINGA PALE UTAKAPO ISHIWA KILE ULICHOPEWA JANA,
cONQUEST-HAUNA KADI YA CHADEMA ACHA UZUSHI PILIPILI ULIO LISHWA ITAKUWASHA MWENYEWE:mmph:
 
Back
Top Bottom