Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
- Thread starter
- #41
Dada Zawadi since when were you Chadema? Kwa ninavyo kumbuka thread zako zote zilikua zina husu uongozi mzuri wa CCM na Jk. Hata siku moja personally sija wahi ona thread au post yako yoyote inayo onyesha kwamba wewe ni supporter wa Chadema. Be real Miss Zawadi hii ni Demokrasia una uhuru wa kuwa chama chochote uki takacho kwa hiyo hamna haja kuchovya tonge kila sehemu ila ukweli ni kwamba you are not a supporter of Chadema, you have never been a supporter of Chadema & I doubt you will ever be. Unaogopa nini kusimamia mtazamo wako halisi?
Kumbuka vizuri toka wakati wa podamatic, utagundua kwamba nilikuwa mmoja wale waliochangia sana juu ya vyama vya upinzani kuungana. Na 'Tanzania Daima' ndio lilikuwa gazeti langu la kila siku.
Hata baadhi ya vijana wa vyuo vikuu wananifahamu kwa hoja zangu ktk mtandao na baadhi yao nilikuwa nakutana nao katIka mtandao hapa Magomeni NA TUKIJADILI KWA NINI NI MUHIMU KUKUMBATIA UPINZANI.
Sina haja ya kudhibitisha zaidi, ila mimi ninachokuomba basi angalau jadili hizo point. Nikosoe kama Mh Slaa si maarufu Dar na Dodoma, nikosoe kama mavadhi ya CHADEMA hayawatishi wananchi, nikosoe kama kweli Mh Slaa si mdemokrasia na...na...na.