arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Wapenda wana JF habari za leo,
Rafiki yangu kazini leo kanieleza mkasa wake nimemuonea huruma sana naombeni ushauri wenu wenzangu.
Huyu dada alikua na mpenzi wanapenda sana penzi lao lilidumu miaka mi3,mama wa mtoto wakiume akawa
Anajifanya anampenda sana huyu dada sababu mtoto wake alikua apeche na mdada mambo yake safi
Baada ya mtoto wake kupata muelekeo wa maisha mama anamwambie mwanawe NIKUSIKIE UMUOWE MALAYA YULE
Huna radhi na mimi,mtoto wa kiume alikolea kwa mdada kiukweli siku 2kabla ya ndoa mama wa mtoto akaona hana
Jinsi yakumkataza mwanae mama akaita kikao kukanya mwanae asiowe, mtoto akamwambia mamake kua anasahau
Kama huyo MALAYA ndio alimtoa huko mpaka sasa alipofikia ni huyu malaya ndio alimshika mkono,mama kuona
Kazidiwa na mwanawe akazivua nguo akasema ukiowa mie sio mamako tena harusi ikavunjika,
Mtoto wakiume akatafutiwa mke na mamake aoe akaowa,baada ya miaka mi3 mdada aloitwa malaya alisha jipanga akaolewa
maisha yake mazuri,bwana yule alomsikiza mamake kazi amefukuzwa mke kamkata kisa mume hana pesa na kachoka na kula daga msumari kila siku, jamaa na mamake walivyo kosa haya wanarudi kwenda kuomba msamaha eti shetani aliwapitia,je huyu mama na mwanawe walivyofanya ni haki? au huyo jamaa hakujua umuhimu wa yule dada mpaka akamsikiliza mamake? je unadhani watu kama hawa kwenye jamii tuwa tafautishe vipi? naomba msaada wenu.......
Rafiki yangu kazini leo kanieleza mkasa wake nimemuonea huruma sana naombeni ushauri wenu wenzangu.
Huyu dada alikua na mpenzi wanapenda sana penzi lao lilidumu miaka mi3,mama wa mtoto wakiume akawa
Anajifanya anampenda sana huyu dada sababu mtoto wake alikua apeche na mdada mambo yake safi
Baada ya mtoto wake kupata muelekeo wa maisha mama anamwambie mwanawe NIKUSIKIE UMUOWE MALAYA YULE
Huna radhi na mimi,mtoto wa kiume alikolea kwa mdada kiukweli siku 2kabla ya ndoa mama wa mtoto akaona hana
Jinsi yakumkataza mwanae mama akaita kikao kukanya mwanae asiowe, mtoto akamwambia mamake kua anasahau
Kama huyo MALAYA ndio alimtoa huko mpaka sasa alipofikia ni huyu malaya ndio alimshika mkono,mama kuona
Kazidiwa na mwanawe akazivua nguo akasema ukiowa mie sio mamako tena harusi ikavunjika,
Mtoto wakiume akatafutiwa mke na mamake aoe akaowa,baada ya miaka mi3 mdada aloitwa malaya alisha jipanga akaolewa
maisha yake mazuri,bwana yule alomsikiza mamake kazi amefukuzwa mke kamkata kisa mume hana pesa na kachoka na kula daga msumari kila siku, jamaa na mamake walivyo kosa haya wanarudi kwenda kuomba msamaha eti shetani aliwapitia,je huyu mama na mwanawe walivyofanya ni haki? au huyo jamaa hakujua umuhimu wa yule dada mpaka akamsikiliza mamake? je unadhani watu kama hawa kwenye jamii tuwa tafautishe vipi? naomba msaada wenu.......