Nilijua tuuu tutafungwa na rwanda.....!

gango2

JF-Expert Member
Aug 31, 2011
1,941
2,251
aaah kama kawa yetu leo tena tumelalwa tena uwanja wetu wa taifa! bao 1 tu na wanarwanda

julio kama kawa sijui kama analakujitetea!!
 
aaah kama kawa yetu leo tena tumelalwa tena uwanja wetu wa taifa! bao 1 tu na wanarwanda

julio kama kawa sijui kama analakujitetea!!

Ulijua au ulihisi? Kama ulijua: Bao ulijua lingefungwa na nani na dakika ya ngapi? Je, bao la penati, free kick, corner au namna gani?
 
aaah kama kawa yetu leo tena tumelalwa tena uwanja wetu wa taifa! bao 1 tu na wanarwanda

julio kama kawa sijui kama analakujitetea!!

acha uongo ww kama ulijua stars itafungwa mbona hukuweka hii post b4 game ianze
 
Back
Top Bottom