Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ulimtongoza nani na huu wimbo ??:smash::ballchain:
ad soma kwanza vizuri alichoandika chini ya huo wimbo
Ulimtongoza nani na huu wimbo ??:smash::ballchain:
heheheeh huyu ndo Afrodenzi bana, akipigwa ban tunaandamanaUlimtongoza nani na huu wimbo ??:smash::ballchain:
ad soma kwanza vizuri alichoandika chini ya huo wimbo
Laptopu ya Afrodenzi inaonekana ameset half screen.ad soma kwanza vizuri alichoandika chini ya huo wimbo
umelalaje/umeshindaje? kwenye red na na nani?
Huyu dokta hata akipigwa ban atakunywa asali mbichi tu na mdalasini siku ya pili unamuona tena anapost. Hakyanani tena
Kama walimu wote wamepotea I think its the right time for private discussion, unaonaje?
:shock: Deskmate!!!Next on the queue najua hapendi uzungu, nitajirekebisha
heheheeh huyu ndo Afrodenzi bana, akipigwa ban tunaandamana
Laptopu ya Afrodenzi inaonekana ameset half screen.
Laptopu ya Afrodenzi inaonekana ameset half screen.
na mimi mzima ..mnimeridika nimekusabahi...nimelala hivyo hivyo tuu..
Vipi we unaendeleaje??
ndo matattizo ya mchina na second hand hahahah lol
Sasa mlinzi wa maembe si embe likidondoka anaokota au? inaonesha kabla koz ya kiarabu itabidi tuanzie kwenye koz ya u security kwanza.:shock: Deskmate!!!
Wewe uliepewa kazi ya kunilinda?
Nakusema kwa Uncle... Akiamka tu nakusema!
na mimi mzima ..mnimeridika nimekusabahi...
Basi ongea na Anti...asante mwali.tatizo kila siku nikienda kwa uncle kaizer namkuta amelewa iwe asubuhi au jioni
lakini hujakosea sana kwani title ya thread inaongelea mambo ya kutongoza
Basi ongea na Anti...
Wakijarib kukupiga ban ndio watajua mimi nani? Ex waifu wangu anafanya kazi microsoft, sitanii Afrodenzi, nina uwezo wa kuigeuza hii JF ikawa blank ndani ya sekunde.we mi niki pigwa BAn unaingia mitini..
Nikirudi nawe huyo wakwanza kunipokea..
ayaaaaaaaaaaa!! naenda kusemaSasa mlinzi wa maembe si embe likidondoka anaokota au? inaonesha kabla koz ya kiarabu itabidi tuanzie kwenye koz ya u security kwanza.
Yule anko mwenyewe sku ile si alikwambia hata nikikufanya nini wewe uchekecheke tu itakuwa ni sehem ya ulinzi. Umesahau?