Habari wana JF?
Mambo mengine yakijadiliwa hapa ndugu zangu unaweza kudhani ni ya kutunga lakini kumbe yapo, hii ni live imetokea kitaa juzi!!
Kuna jirani yetu hapa ambaye huwezi dhania ila ndiyo kama hivyo (mtu Mzima), alifumaniwa na mkewe live kwenye chumba cha guest house na inaonekana mkewe alikuwa anamfuatilia bila jamaa kujijua.
Katika kusuluhisha hayo maswala ya fumanizi ilibidi wenye busara wawaombe wakayazungumzie home kuliko kuyasambaza zaidi mitaani, mke mtu alikubali na kuongozana na mumewe home wakimwacha mfumaniwa (mwanamke) akiondoka zake.
Katika kutafuta suluhu zao hapo nyumbani, mwanaume alijitetea kuwa hakuwa na nia mbaya ila kwa yule mwanamke alifuata tigo tu kwa sababu ni mchezo anaoupenda sana na kumfanyia yeye mkewe aliona kama atamdhalilisha kwa kuwa ni mke wake wa ndoa thus why akawa na kimada wa kumfanyia hivyo.
Ninvyoandika hapa mke mtu yupo kwao Arusha tangu jana na amegoma kurudi kwa mumewe katu katu hasa ikizingatiwa kuwa alimfumania na mwanamke mwenye makalio makubwa sana (sidhani kama ni mchina) kitu kinachopelekea hii inshu kuelemea kwenye ukweli fulani!!
Have a nice time wana JF
Mambo mengine yakijadiliwa hapa ndugu zangu unaweza kudhani ni ya kutunga lakini kumbe yapo, hii ni live imetokea kitaa juzi!!
Kuna jirani yetu hapa ambaye huwezi dhania ila ndiyo kama hivyo (mtu Mzima), alifumaniwa na mkewe live kwenye chumba cha guest house na inaonekana mkewe alikuwa anamfuatilia bila jamaa kujijua.
Katika kusuluhisha hayo maswala ya fumanizi ilibidi wenye busara wawaombe wakayazungumzie home kuliko kuyasambaza zaidi mitaani, mke mtu alikubali na kuongozana na mumewe home wakimwacha mfumaniwa (mwanamke) akiondoka zake.
Katika kutafuta suluhu zao hapo nyumbani, mwanaume alijitetea kuwa hakuwa na nia mbaya ila kwa yule mwanamke alifuata tigo tu kwa sababu ni mchezo anaoupenda sana na kumfanyia yeye mkewe aliona kama atamdhalilisha kwa kuwa ni mke wake wa ndoa thus why akawa na kimada wa kumfanyia hivyo.
Ninvyoandika hapa mke mtu yupo kwao Arusha tangu jana na amegoma kurudi kwa mumewe katu katu hasa ikizingatiwa kuwa alimfumania na mwanamke mwenye makalio makubwa sana (sidhani kama ni mchina) kitu kinachopelekea hii inshu kuelemea kwenye ukweli fulani!!
Have a nice time wana JF