Nilichukia sana nilipogundua kuwa baba ndiye mchumba wake mama...

Ayayaya...nakumbuka nikiwa form one...shule moja hivi huko kilimanjaro.
Shule yenyewe ilikuwa na 5% boys 95% girls.
Sasa siku moja tukatangaziwa kuna wanafunzi kutoka sweden watakuja kutusalimia alafu wangependa kucheza na sisi mpira wa miguu.
Basi tukawa tunatolewa darasani wiki nne mfululizo saa tisa kwenda mazoezini. Kwaiyo kwa mwezi mzima sisi tukawa tunakosa vipindi vya jioni.
Basi siku ya siku wageni wakaja tukawa tunapiga nao kitabu wiki nzima then Ijumaa tukaenda kwenye mechi...mimi nikijua kabisa nimepiga zoezi la kutosha na namba yangu namba nane naimudu vizuri.
Wakapanga kikosi bana...tena na jezi nshavaa..mara nashtuka mpishi ndo amevaa jezi af akaingia namba yangu. Kabla sijaelewa vizuri si mechi ikaanza. Nikaambiwa nitaingia second half.
Haya nikangoja kipindi cha kwanza kikaisha..mpishi hata kucheza hajui..anabutua mpira tu...yani dah nkawa najipa moyo nikiingiaaaa...watanijua.
Kipindi cha pili kikaanza.mtu mzima nishapasha kabisa tayari kuingia mara sista anakuja kuniambia ati huwezi kuingia kisa wale wazunggu wana miili mikubwa eti wataniumiza mara ooh..daah iliniumaje??!
Nililia siku ile jamani...nililia....daah..yani kila nkikumbuka ile siku hasira huwa inanipandaga ghafla..kiukweli nlipokua form one nlikua na umbo dogo sana ila hata dk 10 niwaonyeshe wat i could do.
Af nkifikiria nimepoteza mwezi mzima sijaatend vipindi vya jioni nliumia sana..mwishoni wanakuja kumweka mpishiiiiiii....dah..
Ngoja niachie apa nsije lia tena...
 
Bujibuji hiyo ya panya shume imenichekesha mpaka machozi yametoka. sipati picha wanao wakoje / watakuaje wakifuata huo utundu wako!
 
Last edited by a moderator:
Hizo story zimenniburudisha na mimi natupa moja yangu. Enzi hizo tulivuna maharage shamba tukawa na kazi ya kumenya na kuanika kilasiku, tukawa tunapimiwa kiasi cha kumenya kwa kila mmoja wetu ili tusitegeane, siku ya tukio mimi sikumaliza kumenya fungu langu nikachukua zile ambazo sijamenya nikazifukia kwenye shina la migomba, kumbe dingi mjanja hua jioni baada ya kazi anapita kukagua, akazikuta basi akauchuna mpaka usiku muda wa kula tumesha kaa wote mezani akauliza nani katupa yale maharage ambayo bado hayajamenywa, huku na kule baada ya kubanwa ikajulikana ni mimi, basi dingi akaniambia nikayachukue niliporudi ndani akaniambia niyaoshe na kuyaweka kwenye sahani yangu ya chakula na ndio yatakua chakula changu usiku ule, basi washkaji wanakula wali wa nazi na mchuzi wa nyama mimi namenya maharage na kuyala, huku nalia. Nilikoma kujitia mjanja

Ulidhani umemzidi dingi akili......
 
Ayayaya...nakumbuka nikiwa form one...shule moja hivi huko kilimanjaro.
Shule yenyewe ilikuwa na 5% boys 95% girls.
Sasa siku moja tukatangaziwa kuna wanafunzi kutoka sweden watakuja kutusalimia alafu wangependa kucheza na sisi mpira wa miguu.
Basi tukawa tunatolewa darasani wiki nne mfululizo saa tisa kwenda mazoezini. Kwaiyo kwa mwezi mzima sisi tukawa tunakosa vipindi vya jioni.
Basi siku ya siku wageni wakaja tukawa tunapiga nao kitabu wiki nzima then Ijumaa tukaenda kwenye mechi...mimi nikijua kabisa nimepiga zoezi la kutosha na namba yangu namba nane naimudu vizuri.
Wakapanga kikosi bana...tena na jezi nshavaa..mara nashtuka mpishi ndo amevaa jezi af akaingia namba yangu. Kabla sijaelewa vizuri si mechi ikaanza. Nikaambiwa nitaingia second half.
Haya nikangoja kipindi cha kwanza kikaisha..mpishi hata kucheza hajui..anabutua mpira tu...yani dah nkawa najipa moyo nikiingiaaaa...watanijua.
Kipindi cha pili kikaanza.mtu mzima nishapasha kabisa tayari kuingia mara sista anakuja kuniambia ati huwezi kuingia kisa wale wazunggu wana miili mikubwa eti wataniumiza mara ooh..daah iliniumaje??!
Nililia siku ile jamani...nililia....daah..yani kila nkikumbuka ile siku hasira huwa inanipandaga ghafla..kiukweli nlipokua form one nlikua na umbo dogo sana ila hata dk 10 niwaonyeshe wat i could do.
Af nkifikiria nimepoteza mwezi mzima sijaatend vipindi vya jioni nliumia sana..mwishoni wanakuja kumweka mpishiiiiiii....dah..
Ngoja niachie apa nsije lia tena...

Pole sana
 
me sikumbuki umri bt nlikuwa kama 6/7 yrs. mie na dada tuliagizwa dukan mida ya jioni km saa 1 kasoro, wakat huo dada alikuwa teenager hivi. basi me nikawaona paka wana-do. nikamwambia dada hebu ona wale paka wanafanya mshikamano! mpaka leo mie na dada huwa tunaita ku-do ni kufanya mshikamano. . . utoto bwana una vituko sana!
 
Nashukuru bwana Bujibuji hii stori hunitoa machozi kama si kulia kabisa nikiikumbuka.
 
Last edited by a moderator:
me sikumbuki umri bt nlikuwa kama 6/7 yrs. mie na dada tuliagizwa dukan mida ya jioni km saa 1 kasoro, wakat huo dada alikuwa teenager hivi. basi me nikawaona paka wana-do. nikamwambia dada hebu ona wale paka wanafanya mshikamano! mpaka leo mie na dada huwa tunaita ku-do ni kufanya mshikamano. . . utoto bwana una vituko sana!
charminglady naomba walau siku moja tufanye mshikamano na wewe basi...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom