Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,357
Kwa hali hiyo, hawatakaa wakipende CDM kamwe. Chadema ndio wamesababisha yote haya. Na hii inatokana na uchu wa madaraka wa viongozi wachache wa CDM. Poleni sana wananchi wa Nyololo
Mwana jf wa jinsi ni hatari sana. hakuna mwenye dhamana ya kutawala nchi hii milele. kama chadema wameonesha ni na sababu zakuisogeza tzn mbele wapewe nafasi hiyo. utawala wa sasa unakatisha tamaa. kuna maswali mengi yasiyo na majibu. alive ua mwandishi anaoneka but no action against killers and those who ordered to kill. kama kweli wewe uliyeandika hapo juu una nia nzuri na watanzania pls pls pls pls biga moyo konde na uone ukweli.