Pale mwenge stand kuna ndg yetu albino anauza magzeti,sasa sijui ni amri ya nani na kwa malipo gani nmekuta ameyageuza magazeti ya mwanahali upande wa michezo ndio ulikuwa ukionekana kwa wapita njia na wasoma vichwa vya habari vya magazeti
gazeti la leo la mwanahali ni kali ni jitihada zao za kulihujumu hazitafanikiwa kwani watanzania si mabwege
gazeti la leo la mwanahali ni kali ni jitihada zao za kulihujumu hazitafanikiwa kwani watanzania si mabwege