DICTATOR
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 391
- 3
Its time for change, Dr Slaa anaweza Tunamwamini anaweza na tunamhitaji. Katika wagombea waliopo ulingoni namuona ndo anafaa zaidi kuliko wengine kutokana na uwezo wake wa kujenga hoja na kiutendaji.
Tumpe kura october 31, akishindwa tunawengine watajitokeza tunampiga chini, lakini imani ataweza. Ikulu hakuna mwenyewe wakuu, hata mimi naweza kuingia nakuongoza kama watz watanikubali.
Tumpe kura october 31, akishindwa tunawengine watajitokeza tunampiga chini, lakini imani ataweza. Ikulu hakuna mwenyewe wakuu, hata mimi naweza kuingia nakuongoza kama watz watanikubali.