nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,198
- 1,595
Magufuli alikiponda Sana hiko chuo na hiv atakifungia subr uone
hahaaa NIT ni chuoo ??? LA hashaa ile ni TAASISI chuo njoo UDSMChuo kizuri mno, nimependa mazingira yake yani hakina complication kinafaa kwa mwanafunzi na pia kuna baadhi ya kozi zinatolewa pale tu Tanzania nzima.....
[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
Lazima nicheke pengine hicho chuo hukijui vizuriOk endelea kucheka