Nilichokiona Chuo cha Usafirishaji(NIT)

Oluwa ni

JF-Expert Member
May 24, 2015
717
445
Habari zenu wakuu,

Nadhani wengi mtakuwa mnakifahamu chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT).
.
Binafsi jana nilikuwa nimempeleka dogo wangu akasajiriwe maana pale usajiri umeaanza tarehe 28/11 na hivyo nikaona sio mbaya nikienda na dogo wangu wa kiume ili tukiwa wawili tuweze kukabiliana na changamoto za usajiri kama ilivyo usumbufu hata kwa vyuo vingne vikubwa Tanzania.

Cha kushangaza nimekutana na mambo tofauti ambayo yamenifanya nifungue uzi huu na mengine yamenifurahisha.

Kwanza usajiri wao wako fasta na kuna njia mbili, moja ni online ambayo mwanachuo unatumiwa link, username na password na unajisajr na kuattach vyeti vyako ikiwemo slip ya bank.

Baada ya hapo unasubmitt taarifa online kisha unaanza kuzunguka meza za wasajir na unaanzia kwa mhakiki wa bank slip, kisha kwa mhasibu baada ya hapo unaenda sehemu ya kozi yako huska alafu unaenda kukusanya slip yako ili upewe risiti ya malipo ukitoka hapo unaenda kuwekewa taarifa zako kwenye file na unapewa admission number..

Hapo ni kama dakika 20 au 30 kuwazungukia hao wote baada ya hapo unaenda na file lako sehemu ya kupiga picha kwa ajiri ya kupewa kitambulisho cha chuo na hapo unatumia kama dakika 2 tu tayari unapewa kitambulisho chako..

Yaani mizunguko yote unaweza kutumia kama saa 1 tu unakuwa umekamilisha kila kitu..

Sasa nilikuwa najiuliza vyuo vingine ambavyo usajiri mtu anatumia mpaka wiki nzima inakuaje?? Kama watu ni wengi mbona na pale NIT ni wengi mwaka huu ila wako fasta kusajili.

CHANGAMOTO: Kuna watu wanakuja pale hawana fomu hata moja hata admission form hawana. Kuna wale wengine kwa bahati mbaya hawakutumiwa link yenye username na password hvyo inakuwa ni tabu mpaka kumaliza usajili.

Wengine pia hawako serious na mambo yao mtu anakuja kwa ajili ya kuangalia tu mazingira na kuondoka hajali kuhusu usajiri hvyo anakurupuka siku za mwisho.

MAMBO YALIYONICHEKESHA:
Yaani unakuta kipofu anamuelekeza kipofu mwenzie njia hapo utacheka kweli, mtu hajasajiriwa na hana idea yoyote kwamba usajiri unaenda vipi hapo hapo anakuja mtu mwingne wa hvyo hvyo anahitaji msaada kwa hasiyejua.

Kuna mdada fulani jana katoa machozi adharani baada ya kukosea kuandika majina yake kwa usahihi wakati anafanya online registration na alikuwa tayari amesubmitt taarifa hvyo hakujua namna ya kuedit mpaka alipoelekezwa kwa IT ambaye alimfungulia system tena ndipo akaedit..

Furaha baada ya usajiri.. Mtu anatoka chumba wanachotoa vitambulisho akiwa amefanikiwa kupata kitambulisho huku akiwa na furaha mpaka unaweza kuhisi labda amelogwa mpaka watu wanamshangaa..

Jana nimeenjoy siku yangu ntamwambia dogo wangu hata kwny welcome 1st year niende maana ntapata burudani japo sihusiki..

Cc buzi lisilochunika

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Mtoa mada kuna uzi humu ulipobda hicho chuo kipo kama kijiwe sasa

Chuo kizuri mno, nimependa mazingira yake yani hakina complication kinafaa kwa mwanafunzi na pia kuna baadhi ya kozi zinatolewa pale tu Tanzania nzima.....

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Hicho ni chuo kikuu chetu madereva na kimetusaidia kupanda ngazi kwenye ajira na leo tumefikia kujitegemea mtaani baada ya kupata mitaji.NIT tunakielewa sisi madereva
Dereva acha dharau kile chuo kimesajiriwa 1982 as HIGHER LEARNING INSTUTION kwaiyo madereva ni kisehemu cha biashara pale Kama ilivyo VI ( Vehicle inspection)

Kingine ni Kwamba KATIBA YA SERIKALI YA WANAFUNZI YA NIT iitwayo SONIT CONSTITUTION haiwatambui ndo maana huwa mnanyanyaswa kwa kunyimwa viti ..kumbuka hamplipii ada ya SERIKALI YA WANAFUNZI ...

sorry nimekusaidia
 
Pili kwa MTOA Uzi ni kwamba UMEPENDA USAJILI ...but Ukifanya Research kidogo
Utaongeza list ya vitu vya kupenda na vya kuchukia ..
 
Habari zenu wakuu,

Nadhani wengi mtakuwa mnakifahamu chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT).
.
Binafsi jana nilikuwa nimempeleka dogo wangu akasajiriwe maana pale usajiri umeaanza tarehe 28/11 na hivyo nikaona sio mbaya nikienda na dogo wangu wa kiume ili tukiwa wawili tuweze kukabiliana na changamoto za usajiri kama ilivyo usumbufu hata kwa vyuo vingne vikubwa Tanzania.

Cha kushangaza nimekutana na mambo tofauti ambayo yamenifanya nifungue uzi huu na mengine yamenifurahisha.

Kwanza usajiri wao wako fasta na kuna njia mbili, moja ni online ambayo mwanachuo unatumiwa link, username na password na unajisajr na kuattach vyeti vyako ikiwemo slip ya bank.

Baada ya hapo unasubmitt taarifa online kisha unaanza kuzunguka meza za wasajir na unaanzia kwa mhakiki wa bank slip, kisha kwa mhasibu baada ya hapo unaenda sehemu ya kozi yako huska alafu unaenda kukusanya slip yako ili upewe risiti ya malipo ukitoka hapo unaenda kuwekewa taarifa zako kwenye file na unapewa admission number..

Hapo ni kama dakika 20 au 30 kuwazungukia hao wote baada ya hapo unaenda na file lako sehemu ya kupiga picha kwa ajiri ya kupewa kitambulisho cha chuo na hapo unatumia kama dakika 2 tu tayari unapewa kitambulisho chako..

Yaani mizunguko yote unaweza kutumia kama saa 1 tu unakuwa umekamilisha kila kitu..

Sasa nilikuwa najiuliza vyuo vingine ambavyo usajiri mtu anatumia mpaka wiki nzima inakuaje?? Kama watu ni wengi mbona na pale NIT ni wengi mwaka huu ila wako fasta kusajili.

CHANGAMOTO: Kuna watu wanakuja pale hawana fomu hata moja hata admission form hawana. Kuna wale wengine kwa bahati mbaya hawakutumiwa link yenye username na password hvyo inakuwa ni tabu mpaka kumaliza usajili.

Wengine pia hawako serious na mambo yao mtu anakuja kwa ajili ya kuangalia tu mazingira na kuondoka hajali kuhusu usajiri hvyo anakurupuka siku za mwisho.

MAMBO YALIYONICHEKESHA:
Yaani unakuta kipofu anamuelekeza kipofu mwenzie njia hapo utacheka kweli, mtu hajasajiriwa na hana idea yoyote kwamba usajiri unaenda vipi hapo hapo anakuja mtu mwingne wa hvyo hvyo anahitaji msaada kwa hasiyejua.

Kuna mdada fulani jana katoa machozi adharani baada ya kukosea kuandika majina yake kwa usahihi wakati anafanya online registration na alikuwa tayari amesubmitt taarifa hvyo hakujua namna ya kuedit mpaka alipoelekezwa kwa IT ambaye alimfungulia system tena ndipo akaedit..

Furaha baada ya usajiri.. Mtu anatoka chumba wanachotoa vitambulisho akiwa amefanikiwa kupata kitambulisho huku akiwa na furaha mpaka unaweza kuhisi labda amelogwa mpaka watu wanamshangaa..

Jana nimeenjoy siku yangu ntamwambia dogo wangu hata kwny welcome 1st year niende maana ntapata burudani japo sihusiki..

Cc buzi lisilochunika

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
Jifariji tu......
 
laza Yohana ameshasema kile sio chuo kikuu

Hata mm nafaham kuw sio chuo kikuu, ni institute ila kinatoa degree na kina kozi za kipekee ukilinganisha na vyuo vngne vya serikali...........

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Hicho ni chuo kikuu chetu madereva na kimetusaidia kupanda ngazi kwenye ajira na leo tumefikia kujitegemea mtaani baada ya kupata mitaji.NIT tunakielewa sisi madereva

Chuo kizuri sana mkuu nadhan umefaidika sana pale.............

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Dereva acha dharau kile chuo kimesajiriwa 1982 as HIGHER LEARNING INSTUTION kwaiyo madereva ni kisehemu cha biashara pale Kama ilivyo VI ( Vehicle inspection)

Kingine ni Kwamba KATIBA YA SERIKALI YA WANAFUNZI YA NIT iitwayo SONIT CONSTITUTION haiwatambui ndo maana huwa mnanyanyaswa kwa kunyimwa viti ..kumbuka hamplipii ada ya SERIKALI YA WANAFUNZI ...

sorry nimekusaidia

Ahahah kumbe serikali ya wanafunzi haiwatambua na bado wanadai ni chuo chao duh kweli mkuu umeeleza vzr...........

Ila dereva akisoma pale ajira nje nje maana hata dereva wa mh Magu kasomea pale...............

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Mkuu sio usajiri wala msajiri ..

ni usajili na msajili...na kusajiliwa vinginevyo asante kwa taarifa.
 
Pili kwa MTOA Uzi ni kwamba UMEPENDA USAJILI ...but Ukifanya Research kidogo
Utaongeza list ya vitu vya kupenda na vya kuchukia ..

Hii ni kwa ck moja tu kwa namna nilivyoona mambo yalivyo kwenye usajiri ila nadhani ntazidi kujua mengi kuptia kwa dogo.............

Najua mazur yapo na mabaya pia.................

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Kwenye usajili wa CILT wako hovyo japo nimesoma pale

Ilo sikuliona mkuu ila kwa kuwa umesoma ww pale huenda mambo yamebadilika kwa mwaka huu............

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Mkuu sio usajiri wala msajiri ..

ni usajili na msajili...na kusajiliwa vinginevyo asante kwa taarifa.

Asante mkuu kwa marekebisho yako mazuri..............

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Habari zenu wakuu,

Nadhani wengi mtakuwa mnakifahamu chuo cha taifa cha usafirishaji (NIT).
.
Binafsi jana nilikuwa nimempeleka dogo wangu akasajiriwe maana pale usajiri umeaanza tarehe 28/11 na hivyo nikaona sio mbaya nikienda na dogo wangu wa kiume ili tukiwa wawili tuweze kukabiliana na changamoto za usajiri kama ilivyo usumbufu hata kwa vyuo vingne vikubwa Tanzania.

Cha kushangaza nimekutana na mambo tofauti ambayo yamenifanya nifungue uzi huu na mengine yamenifurahisha.

Kwanza usajiri wao wako fasta na kuna njia mbili, moja ni online ambayo mwanachuo unatumiwa link, username na password na unajisajr na kuattach vyeti vyako ikiwemo slip ya bank.

Baada ya hapo unasubmitt taarifa online kisha unaanza kuzunguka meza za wasajir na unaanzia kwa mhakiki wa bank slip, kisha kwa mhasibu baada ya hapo unaenda sehemu ya kozi yako huska alafu unaenda kukusanya slip yako ili upewe risiti ya malipo ukitoka hapo unaenda kuwekewa taarifa zako kwenye file na unapewa admission number..

Hapo ni kama dakika 20 au 30 kuwazungukia hao wote baada ya hapo unaenda na file lako sehemu ya kupiga picha kwa ajiri ya kupewa kitambulisho cha chuo na hapo unatumia kama dakika 2 tu tayari unapewa kitambulisho chako..

Yaani mizunguko yote unaweza kutumia kama saa 1 tu unakuwa umekamilisha kila kitu..

Sasa nilikuwa najiuliza vyuo vingine ambavyo usajiri mtu anatumia mpaka wiki nzima inakuaje?? Kama watu ni wengi mbona na pale NIT ni wengi mwaka huu ila wako fasta kusajili.

CHANGAMOTO: Kuna watu wanakuja pale hawana fomu hata moja hata admission form hawana. Kuna wale wengine kwa bahati mbaya hawakutumiwa link yenye username na password hvyo inakuwa ni tabu mpaka kumaliza usajili.

Wengine pia hawako serious na mambo yao mtu anakuja kwa ajili ya kuangalia tu mazingira na kuondoka hajali kuhusu usajiri hvyo anakurupuka siku za mwisho.

MAMBO YALIYONICHEKESHA:
Yaani unakuta kipofu anamuelekeza kipofu mwenzie njia hapo utacheka kweli, mtu hajasajiriwa na hana idea yoyote kwamba usajiri unaenda vipi hapo hapo anakuja mtu mwingne wa hvyo hvyo anahitaji msaada kwa hasiyejua.

Kuna mdada fulani jana katoa machozi adharani baada ya kukosea kuandika majina yake kwa usahihi wakati anafanya online registration na alikuwa tayari amesubmitt taarifa hvyo hakujua namna ya kuedit mpaka alipoelekezwa kwa IT ambaye alimfungulia system tena ndipo akaedit..

Furaha baada ya usajiri.. Mtu anatoka chumba wanachotoa vitambulisho akiwa amefanikiwa kupata kitambulisho huku akiwa na furaha mpaka unaweza kuhisi labda amelogwa mpaka watu wanamshangaa..

Jana nimeenjoy siku yangu ntamwambia dogo wangu hata kwny welcome 1st year niende maana ntapata burudani japo sihusiki..

Cc buzi lisilochunika

[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom