Nimeangalia CD iliyorikodiwa sijui na nani wakati wawakilishi wa baraza kama watu binafsi wakitowa maoni juu ya katiba mpya waitakayo kama sehemu ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Lakini kwa kweli kilichonihuzunisha mimi na mpaka sasa nasikia aibu ndani ya nafsi yangu ni jinsi ya viwango vya elimu vya baadhi ya wawakilishi ambao wengi ni Form Three na wengine Form Four ila baadhi ya wachache sana ndio wana elimu ya juu yaani shahada kama sheria na biashara. Kwa kweli nikijiuliza kiwango cha hawa walio wengi form 4 na 3 nikitizama kiwango chao cha elimu na kazi wanayofanya haifanani kwanza ni rahisi kudanganywa na wataalamu hasa wachumu ambao ni maofisa mipango wanaandaa budget za serikali vipi huyu mwakilishi wa Form 4 na 3 anaweza kufifanyia analysis budget na miswaada maana pia kuna kamati kama PAC vipi wanaweza kuchambua ripoti .
Kwa kweli kichwa kiliniuma sana walipokuwa wakitaja viwango vya elimu zao kweli tutafika daaaaa we acha tu
Wana jamii naomba tuchangie hili
Lakini kwa kweli kilichonihuzunisha mimi na mpaka sasa nasikia aibu ndani ya nafsi yangu ni jinsi ya viwango vya elimu vya baadhi ya wawakilishi ambao wengi ni Form Three na wengine Form Four ila baadhi ya wachache sana ndio wana elimu ya juu yaani shahada kama sheria na biashara. Kwa kweli nikijiuliza kiwango cha hawa walio wengi form 4 na 3 nikitizama kiwango chao cha elimu na kazi wanayofanya haifanani kwanza ni rahisi kudanganywa na wataalamu hasa wachumu ambao ni maofisa mipango wanaandaa budget za serikali vipi huyu mwakilishi wa Form 4 na 3 anaweza kufifanyia analysis budget na miswaada maana pia kuna kamati kama PAC vipi wanaweza kuchambua ripoti .
Kwa kweli kichwa kiliniuma sana walipokuwa wakitaja viwango vya elimu zao kweli tutafika daaaaa we acha tu
Wana jamii naomba tuchangie hili