Nilichojionea wakati wa utowaji maoni tume ya katiba mpya kwa Wawakilishi - Zanzibar

Mwambao

Member
Apr 11, 2011
22
6
Nimeangalia CD iliyorikodiwa sijui na nani wakati wawakilishi wa baraza kama watu binafsi wakitowa maoni juu ya katiba mpya waitakayo kama sehemu ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Lakini kwa kweli kilichonihuzunisha mimi na mpaka sasa nasikia aibu ndani ya nafsi yangu ni jinsi ya viwango vya elimu vya baadhi ya wawakilishi ambao wengi ni Form Three na wengine Form Four ila baadhi ya wachache sana ndio wana elimu ya juu yaani shahada kama sheria na biashara. Kwa kweli nikijiuliza kiwango cha hawa walio wengi form 4 na 3 nikitizama kiwango chao cha elimu na kazi wanayofanya haifanani kwanza ni rahisi kudanganywa na wataalamu hasa wachumu ambao ni maofisa mipango wanaandaa budget za serikali vipi huyu mwakilishi wa Form 4 na 3 anaweza kufifanyia analysis budget na miswaada maana pia kuna kamati kama PAC vipi wanaweza kuchambua ripoti .
Kwa kweli kichwa kiliniuma sana walipokuwa wakitaja viwango vya elimu zao kweli tutafika daaaaa we acha tu

Wana jamii naomba tuchangie hili
 
Mwambao, takashi,

..walioendesha harakati za uhuru wa Tanganyika walikuwa na elimu ndogo zaidi ya hao wawakilishi wa ZNZ, yet walisikilizwa hoja yao na tukapewa uhuru.

..wa-ZNZ wamechoka na muungano, na wanaeleza waziwazi.

..hivi hizi CHUKI wanazoeneza waziwazi dhidi yetu wa-Tanganyika mnaona raha gani kuzivumilia?? Kuna shida gani wakipewa nchi yao?

..Mimi nilitegemea na sisi wa-Tanganyika tutapaza sauti kwamba muungano uvunjwe. We have nothing to loose.
 
Last edited by a moderator:
Mwambao, takashi,

..walioendesha harakati za uhuru wa Tanganyika walikuwa na elimu ndogo zaidi ya hao wawakilishi wa ZNZ, yet walisikilizwa hoja yao na tukapewa uhuru.

..wa-ZNZ wamechoka na muungano, na wanaeleza waziwazi.

..hivi hizi CHUKI wanazoeneza waziwazi dhidi yetu wa-Tanganyika mnaona raha gani kuzivumilia?? Kuna shida gani wakipewa nchi yao?

..Mimi nilitegemea na sisi wa-Tanganyika tutapaza sauti kwamba muungano uvunjwe. We have nothing to loose.

Tatizo mfumo kristo...Hawataki kuona Muungano unvunjika kwa sababu agenda yao itakua imefeli...
 
Tatizo mfumo kristo...Hawataki kuona Muungano unvunjika kwa sababu agenda yao itakua imefeli...
Tatizo sio mfumo kristo tunawaonea huruma ndugu zetu weusi maana wote wanaodai muungao uvunjike ni wazanzibari waarabu waomani ambao kwa namna moja au nyingine ndio wale waliopinduliwa sasa wanakuja kivingine.

We angalia viongozi wa uamsho 90% waarabu, Wachochezichozi wote (90% waarabu hujiulizi)?

Nia yao ni moja tu kuvunja muungano kutangaza taifa la kiarabu sijiu kininini waulize wazanzibari weusi kama kwa nafsi yao wanapenda muungano uvunjike utapata jibu halafu muulize mzanzibari muarabu kama wanapenda muungano uvunjike utapata jibu, wengi wa weusi wanashurutishwa may be kwa kuwa wameajiriwa na hao wazanzibari waarabu thats why siku ukivunjika tu tegemea upemba na uunguja.
 
Tatizo si watu wanaogombea Ubunge au Uwakilishi, tatizo ni mfumo (Katiba) inayoruhisu yeyote anayejua kusoma na kuandika kuwa na nafasi ya kugombea. Tunahitaji viongozi wenye upeo sio wale wanaofata upepo tu. Pamoja na ukweli huo, tunashuhudia katika nchi hii hata hao professors wakiendeshwa na hao wenye elimu ndogo. sijui tunakwenda wapi watanzania sisi
 
Nimeangalia CD iliyorikodiwa sijui na nani wakati wawakilishi wa baraza kama watu binafsi wakitowa maoni juu ya katiba mpya waitakayo kama sehemu ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Lakini kwa kweli kilichonihuzunisha mimi na mpaka sasa nasikia aibu ndani ya nafsi yangu ni jinsi ya viwango vya elimu vya baadhi ya wawakilishi ambao wengi ni Form Three na wengine Form Four ila baadhi ya wachache sana ndio wana elimu ya juu yaani shahada kama sheria na biashara. Kwa kweli nikijiuliza kiwango cha hawa walio wengi form 4 na 3 nikitizama kiwango chao cha elimu na kazi wanayofanya haifanani kwanza ni rahisi kudanganywa na wataalamu hasa wachumu ambao ni maofisa mipango wanaandaa budget za serikali vipi huyu mwakilishi wa Form 4 na 3 anaweza kufifanyia analysis budget na miswaada maana pia kuna kamati kama PAC vipi wanaweza kuchambua ripoti .
Kwa kweli kichwa kiliniuma sana walipokuwa wakitaja viwango vya elimu zao kweli tutafika daaaaa we acha tu

Wana jamii naomba tuchangie hili
We waache tu...muungano ukivunjika hawa waishia kuwa watwana tu, mabwana wao watatoka Oman...!
 
Tatizo sio mfumo kristo tunawaonea huruma ndugu zetu weusi maana wote wanaodai muungao uvunjike ni wazanzibari waarabu waomani ambao kwa namna moja au nyingine ndio wale waliopinduliwa sasa wanakuja kivingine.

We angalia viongozi wa uamsho 90% waarabu, Wachochezichozi wote (90% waarabu hujiulizi)?

Nia yao ni moja tu kuvunja muungano kutangaza taifa la kiarabu sijiu kininini waulize wazanzibari weusi kama kwa nafsi yao wanapenda muungano uvunjike utapata jibu halafu muulize mzanzibari muarabu kama wanapenda muungano uvunjike utapata jibu, wengi wa weusi wanashurutishwa may be kwa kuwa wameajiriwa na hao wazanzibari waarabu thats why siku ukivunjika tu tegemea upemba na uunguja.

Hii kasumba ya Uarabu na Uafrika/Uweusi sisi tushachoka nazo. Hazina tija kwa maendeleo ya Zanzibar. Kila siku umasikini unazidi kuota mizizi na hali ya maisha inakua mbaya zaidi na zaidi. Hawa viongozi wanaojidai kutetea Uweusi/Uafrika kwanini wananufaika wao tu,na familia zao. Kwanini nafasi za uongozi ziwe zinarithishwa kwa watoto wa viongozi tu?

Kabla ya kutukataza tusidai mabadiliko ,wanatakiwa watimize majukumu yao ya uongozi. Miaka 50 ya uhuru bado tunahangaika kutafuta maji safi,umeme wa kutosha ,huduma za afya na mazingira duni tunayoishi. Kama serikali imeshindwa na haya basi usitukataze sisi tunaodai mabadiliko. Mimi sina hata chembe ya Uarabu na nasema tumechoka na lazima tupumue.
 
Hii kasumba ya Uarabu na Uafrika/Uweusi sisi tushachoka nazo. Hazina tija kwa maendeleo ya Zanzibar. Kila siku umasikini unazidi kuota mizizi na hali ya maisha inakua mbaya zaidi na zaidi. Hawa viongozi wanaojidai kutetea Uweusi/Uafrika kwanini wananufaika wao tu,na familia zao. Kwanini nafasi za uongozi ziwe zinarithishwa kwa watoto wa viongozi tu?

Kabla ya kutukataza tusidai mabadiliko ,wanatakiwa watimize majukumu yao ya uongozi. Miaka 50 ya uhuru bado tunahangaika kutafuta maji safi,umeme wa kutosha ,huduma za afya na mazingira duni tunayoishi. Kama serikali imeshindwa na haya basi usitukataze sisi tunaodai mabadiliko. Mimi sina hata chembe ya Uarabu na nasema tumechoka na lazima tupumue.
Kumbe ni kweli umeona kuna uarabu na ueusi. Hivi shule mwapafomu vizuri nyie maana nilikuwa nasikia Zainzibar inaongoza kwa vijana kutumia madawa ya kulevya na 0713. Shule dunia ni shida sana kwa watoto wa Kizanzibar zaidi ya madrasa elimu dunia nii shinda ndio maana na ufaulu uko chini cha ajabu wakifeli wanalalamika wamefelishwa.

Ningekuwa miimi nina mamlaka kweli niingeufunjilia mbali, ingawa najua hata ukivunjika hao weusi watabaki kuwa watumwa wa waarabu maana wanafikiri wanavyoaminishwa ndivyo vitakuwa, matokeo yake wengi watakimbilia huku bara kama walivyojazana kariakoo.
 
Hii kasumba ya Uarabu na Uafrika/Uweusi sisi tushachoka nazo. Hazina tija kwa maendeleo ya Zanzibar. Kila siku umasikini unazidi kuota mizizi na hali ya maisha inakua mbaya zaidi na zaidi. Hawa viongozi wanaojidai kutetea Uweusi/Uafrika kwanini wananufaika wao tu,na familia zao. Kwanini nafasi za uongozi ziwe zinarithishwa kwa watoto wa viongozi tu?

Kabla ya kutukataza tusidai mabadiliko ,wanatakiwa watimize majukumu yao ya uongozi. Miaka 50 ya uhuru bado tunahangaika kutafuta maji safi,umeme wa kutosha ,huduma za afya na mazingira duni tunayoishi. Kama serikali imeshindwa na haya basi usitukataze sisi tunaodai mabadiliko. Mimi sina hata chembe ya Uarabu na nasema tumechoka na lazima tupumue.

sasa kama mmechoka nani anawalazimisha? hata sisi huku Tanganyika tumechoka kubeba zigo lizilobebeka! Kaoleweni huko Oman
 
Nimeangalia CD iliyorikodiwa sijui na nani wakati wawakilishi wa baraza kama watu binafsi wakitowa maoni juu ya katiba mpya waitakayo kama sehemu ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Lakini kwa kweli kilichonihuzunisha mimi na mpaka sasa nasikia aibu ndani ya nafsi yangu ni jinsi ya viwango vya elimu vya baadhi ya wawakilishi ambao wengi ni Form Three na wengine Form Four ila baadhi ya wachache sana ndio wana elimu ya juu yaani shahada kama sheria na biashara. Kwa kweli nikijiuliza kiwango cha hawa walio wengi form 4 na 3 nikitizama kiwango chao cha elimu na kazi wanayofanya haifanani kwanza ni rahisi kudanganywa na wataalamu hasa wachumu ambao ni maofisa mipango wanaandaa budget za serikali vipi huyu mwakilishi wa Form 4 na 3 anaweza kufifanyia analysis budget na miswaada maana pia kuna kamati kama PAC vipi wanaweza kuchambua ripoti .
Kwa kweli kichwa kiliniuma sana walipokuwa wakitaja viwango vya elimu zao kweli tutafika daaaaa we acha tu

Wana jamii naomba tuchangie hili
We mwenyewe kwani una kiwango gani cha elimu.Mbona uandishi wako inaonekana ni kama mtoto aliyefeli std 7.
Ikiwa umeshindwa kuelewa hoja za wawakilishi nani atakuamini kuwa una elimu kubwa kuwapita wao.
Ukitaka kujua ukali wa hoja zao na elimu za wawakilishi muulize Jaji Warioba aliyelazimika kuuliza maswali kama ya mtoto asiyeelewa somo darasani.
 
Tatizo sio mfumo kristo tunawaonea huruma ndugu zetu weusi maana wote wanaodai muungao uvunjike ni wazanzibari waarabu waomani ambao kwa namna moja au nyingine ndio wale waliopinduliwa sasa wanakuja kivingine.

We angalia viongozi wa uamsho 90% waarabu, Wachochezichozi wote (90% waarabu hujiulizi)?

Nia yao ni moja tu kuvunja muungano kutangaza taifa la kiarabu sijiu kininini waulize wazanzibari weusi kama kwa nafsi yao wanapenda muungano uvunjike utapata jibu halafu muulize mzanzibari muarabu kama wanapenda muungano uvunjike utapata jibu, wengi wa weusi wanashurutishwa may be kwa kuwa wameajiriwa na hao wazanzibari waarabu thats why siku ukivunjika tu tegemea upemba na uunguja.

wacha kuwadanganya wana jamii zanzibar ni yawote wazawa ambao ni mchanganyiko wa watu wa rangi tofauti hata wajukuu wa mababu zenu kutoka tabora ni wazanzibar.hata wewe unatoka kongo nashangaa unajiita mtanzania na unalani kuitwa mtanganyika.mjasiri haachi asili.sovereign zanzibar.say no union
 
We mwenyewe kwani una kiwango gani cha elimu.Mbona uandishi wako inaonekana ni kama mtoto aliyefeli std 7.
Ikiwa umeshindwa kuelewa hoja za wawakilishi nani atakuamini kuwa una elimu kubwa kuwapita wao.
Ukitaka kujua ukali wa hoja zao na elimu za wawakilishi muulize Jaji Warioba aliyelazimika kuuliza maswali kama ya mtoto asiyeelewa somo darasani.

big up kwa kumwambia ukweli.pia jaji warioba katika makutano yake na wawakilishi amejisahau kua yeye ni mkusanyaji maoni na wala sio mwenye kuchuja maoni matokeo yake ameanza kuonesha uzaifu wakupinga hazarani kwamba tunataka kuuvunja muungano.togeza we say no union.tuwacheni tupumuwe
 
ningependa kikwete na shein wasikie haya, meli free toka dsm kwa mwezi iwarudishe wazenj na kuwaleta wa bar, itasaidiia!
 
kwanini mnapenda kila jambo kulinganisha na elimu kwani hao wanaotusainisha mikataba mibovu hawajaenda shule.Siasa siyo kazi ya taaluma hivyo kila mtu ana haki ya kuingia kazi za taaluma zinaeleweka kwa hiyo siyo kosa wawakilishi kuwa na elimu ndogo waliowachagua waliona wanafaa ndio maana wakawachagua
 
Kumbe ni kweli umeona kuna uarabu na ueusi. Hivi shule mwapafomu vizuri nyie maana nilikuwa nasikia Zainzibar inaongoza kwa vijana kutumia madawa ya kulevya na 0713. Shule dunia ni shida sana kwa watoto wa Kizanzibar zaidi ya madrasa elimu dunia nii shinda ndio maana na ufaulu uko chini cha ajabu wakifeli wanalalamika wamefelishwa.

Ningekuwa miimi nina mamlaka kweli niingeufunjilia mbali, ingawa najua hata ukivunjika hao weusi watabaki kuwa watumwa wa waarabu maana wanafikiri wanavyoaminishwa ndivyo vitakuwa, matokeo yake wengi watakimbilia huku bara kama walivyojazana kariakoo.

Hivi zile phD ya SHEIN na BILAL za bandia ? Hii ya KIKWETE vipi?
 
wacha kuwadanganya wana jamii zanzibar ni yawote wazawa ambao ni mchanganyiko wa watu wa rangi tofauti hata wajukuu wa mababu zenu kutoka tabora ni wazanzibar.hata wewe unatoka kongo nashangaa unajiita mtanzania na unalani kuitwa mtanganyika.mjasiri haachi asili.sovereign zanzibar.say no union
Sasa kama ya woote makanisa mwayachomea nini! na baa je! mwazichomea nini! kama ya wooote mngeacha kuharibu mali za wazanzibari wenzenu kila mmoja mngemuachia uhuru wake yakhe! kwa maana anayehukumu ni Mungu pekee! au sivyo ndugu yangu yakhe!
 
Back
Top Bottom