- Thread starter
- #21
Mkuu,
Pinda alijibu nini kuhusu hospitali ya Mara?Ni hospitali gani inaongelewa ni ile ya Kwangwa au ni ya pale mjini iliyoachwa na mkoloni?Kuna wakati nilisikia hospitali ya Kwangwa ianataka kuchukuliwa na Kanisa Katoliki.
Mkuu Lageneral salam,
Katika taarifa niliyopewa inasema ni Hospitali ya Mkoa na kufuatilia kwangu nimepata jibu kuwa hiyo ya Kwangwa ndio ya mkoa napia ndio Kanisa Katoliki wanayotaka kuiendeleza.Habari zaidi zinasema Mheshimiwa Pinda anamualiko Mkoani Mara kwa madhumuni ya kuhamasisha uchangiaji wa Hospitali hiyo. Jibu la mh Pinda alikubali kuwa huo mradi umesahauliwa au kutupwa kwa muda mrefu na sasa ni wakati wakuushughulikia.
Last edited: