Nilichogundua kuhusu Arusha

Hii ni kweli tupu Mwanza wapo strategically potential lakini bado sana kwenye resources exploitation hawajautilize ipasavyo ukilinganisha na kaskazini empire ambao wapo mbele sana in every sector on top of that pia ni runners wa uchumi wa Mwanza yenyewe.
Kama pale Mwanza mjini wamejaa wachagga kibao wanarun biashara pale.. Mpaka yale mabasi yao waliyokuwa wanayapenda ya Kisbo ni ya north empire, Bar na Hotels na Hardware nyingi tu ni za north empire..
 
Leo me nimeshakuambia ni facts tu huko kwenye picture nimeshakupiga buku - 17.

tax-png.406062


Soma graph data Mkuu aliyoileta hapo jaribu kuangalia tofauti ya Arusha na Mwanza kwa ukusanyaji wa mapato kwa 2014/2015 na 2015/2016 utaona Arusha imepanda zaidi ya 60% ya mwaka jana huku Mwanza ikipanda kwa 24% ukilinganisha na mwaka jana tafadhali zingatia population baina ya mikoa hiyo miwili.
Alafu mwambie asubiri 2016/17 kama hatazimia... Ile 18% VAT lazima itatufikisha Billion 400 mpaka 450..
 
Alafu mwambie asubiri 2016/17 kama hatazimia... Ile 18% VAT lazima itatufikisha Billion 400 mpaka 450..
Mkuu kwa gape hilo hakuna matumaini yoyote kwa Mwanza kuipita Arusha kwenye tax collection hilo ni gape mara zaidi mbili na investment mpya Arusha bado ni nyingi Arusha ina viwanda Vinci zaidi baada ya Dar.
Kikubwa zaidi investment nyingi Arusha zinamilikiwa na wazawa pesa inazidi kuzunguka tu ndani ya mkoa.
 
Tafiti zinaonesha
Arusha ndio mji ambao Kingereza kinaongewa zaidi kuliko sehemu yoyote Tz

Arusha ndio mji pekee ambao unatajwa mara nyingi kwenye Web...

Arusha na Moshi ndio miji inayoongoza kwa wakazi wake kutumia huduma za ki-bank kuliko mji wowote Tanzania.....

Arusha ni mji pekee mitaani unapishana na Wazungu utafikiri ni wenyeji...Miji mingine mzungu akipita watu humshangaa .ila kwa Arusha ni kitu cha kawaida..

Arusha kuna Bureau de Change nyingi kuliko sehemu yoyote Tz ikifuatiwa na Zanzibar na Dar na Moshi..

Arusha ndio mji pekee katikati ya mji ni kusafi na magari yanapaki kwa utaratibu na mpangilio...
umeongea mambo mengi lakini umeongea mambo ya kitoto yote...hivi adi saiv kwa umri wako hujajua kutetea mji wako unaoishi ata kumshawishi mwekezaji aje awekeze??? kwa IQ yako tanzania na arusha kwa ujumla ina kazi ya ziada kama watu wake ndioo wanaupeo kama huu...eti mtaani unapishana na wazungu hhahahahahha braza ndioo nikweli wazungu ni wengi lakini sio suala la kuzungumza mbele ya watu ukiwa unatetea sifa za kimaendeleo kuhusu mkoa wako...jamaaa umewakosea heshima watu wa arusha kwa hizo point zaki
 
Mkuu kwa gape hilo hakuna matumaini yoyote kwa Mwanza kuipita Arusha kwenye tax collection hilo ni gape mara zaidi mbili na investment mpya Arusha bado ni nyingi Arusha ina viwanda Vinci zaidi baada ya Dar.
Kikubwa zaidi investment nyingi Arusha zinamilikiwa na wazawa pesa inazidi kuzunguka tu ndani ya mkoa.
Hvi nyie..tunazungumzia cities Au tunalinganisha tax collection statistics between two regions?.. Wengine mnaingiza mpak concept za kiukabila hapa....manyara inazd mwanza ukusanyaji wa mapato, kwa hyo babati ipo step ahead kuzid mwanza city? The same applied to mosh town je inaizid mwanza city kwa sababu Kilimanjaro ipo more step kwenye ukusanyaji wa mapato? Mtwara je na yenyewe ipo mbele zaid? Ukitoa dar, mwanza ndo mji wenye demand ya Huduma nying kuliko hata hyo arusha ila kwa vile elimu ilianzia kaskazini na watu weng wa kule wakaingia serikalini Huduma nying walipeleka arusha.....!! Na wakabebana na walivyo na roho mbaya ukabila umewajaa mpak mahofsini....hawatak watu wengne waendelee hasa kielimu...tunategemea bas arusha ungekuwa mji mkuu na mkubwa tz lakini wap... Mji choka mbaya tuuu....arusha kuna HQ ya vyuo vikuu vingi, arusha kuna viwanda vingi but mji chokaaaa.... Bidhaa zote mnazarisha ila lazima mlete huku mwanza...na ndo maana mwanza inakua kuliko hyo arusha....but return ya kodi inaanzia pale bidhaa zinapozalishwa thus y mpo mbele kwa ukusanyaji.....kuhusu umaskini ni kuwa mlijitahd kubebana baada ya kuwah kupata elimu kipind ambacho mikoa mingne haikupata chance hyo....na mfumo wa serikali ulipoanza mkajaa serikalini na mkanyanyua kwenu ndo maana mna maendeleo...but mwanza is mwanza tuuu...mbal na changamoto zilizopo ila mji unaenda....hakuna chuo cha serikali HQ...hakuna ofc kubwa za serikali, yaani cha serikali hakipo kabisaa chochote, kwenye migodi mmejazana wachaga, ofc za ardhi mmejaa na kaz yenu ni kukandamiza wananchi kwa dhuluma kisa mpo serikalini na kupeana maeneo ya uwekezaji.....utajenga kiwanda arusha ila utakuja kutafuta Wateja mwanza.....mashirika makubwa yanaongozwa na watu wa kaskazini kaz kwao ni kuelekeza mirad home kwao....rasilimali watu ni ya maana kuliko rasilimali Fedha....
Alafu mwambie asubiri 2016/17 kama hatazimia... Ile 18% VAT lazima itatufikisha Billion 400 mpaka 450..

Kama pale Mwanza mjini wamejaa wachagga kibao wanarun biashara pale.. Mpaka yale mabasi yao waliyokuwa wanayapenda ya Kisbo ni ya north empire, Bar na Hotels na Hardware nyingi tu ni za north empire..

Mwanza ni Commercial City?? Vitu vingine ebu kuweni wapole na mtumie akili.. Mfano wa Commercial City Tanzania ni Dar Es Salaam.. Kodi wanakusanya almost 75% ya kodi yote nchini. Hiyo ndiye Commercial City, biashara inafanyika hapo. Mwanza ina population ya 2.7 Million kwa sensa ya 2012, yawezekana sasa imefika 3 Million, mikoa inayozunguka Mwanza na imbayo ingeitegemea Mwanza kama hiyo Mwanza yako ingekuwa kweli ni Commercial City ni Mara yenye population ya 1.7 Million, Shinyanga yenye 1.5 Million, Tabora yenye 2.2 Million na Kagera yenye 2.4 Million.. Yaani kwa kifupi Mwanza imezungukwa na Mikoa yenye population ya 7.8 Million na ukijumlisha na yake ya 2.7 million ni almost 10 Million.

Sasa Mwanza kama kweli ingekuwa ni Commercial City inayolisha hiyo mikoa inayoizunguka lazima mzunguko wa pesa ungekuwa ni mkubwa na pia kodi TRA wangekusanya nyingi tu hata kufikia nusu au theluthi ya Dar Es Salaam. Ila cha ajabu hiyo Commercial City unayosifia inapitwa mpaka na wilaya dhoofu ya Temeke kwa makusanyo ya kodi kwa almost mara mbili zaidi wakati population ya Temeke ni watu laki saba pekee.. Mwanza ni mji dhoofu lakini upo strategically tu, Ukiwachukua watu waliooza meno wao kwao ndio kukawa Mwanza na wa Mwanza wakaletwa Arusha ungekuta leo hii Mwanza inachukuana na Dar kwa makusanyo. Huwezi kuzungukwa na watu Million 10 alafu kodi unakusanya Billion 100 pekee kwa mwaka wakati Arusha yenye watu 1.6 Million inakusanya mara tatu yako...

Angalia makusanyo wa Arusha na Mwanza hapo chini. Mwanza imezidiwa mpaka na Kilimanjaro... Tukisema Mwanza imelala mkubali tu, hatubishani ili mradi uvutie kwako. Mwanza ni strategic City ambayo angalau ilitakiwa ikusanye hata Billion 800 mpaka 900 kwa mwaka. Mwanza kumedorora wala hatusemi kwa ubaya. Soon Mtwara itawaovertake kwa makusanyo..

View attachment 406062

Ajabu ni katika mikoa mitano tajiri, mitatu inatoka kule wasikokupenda. Mi nimewaambiwa kama Arusha ndiyo ingekuwa Mwanza alafu Kilimanjaro ikawa Shinyanga au Mara leo hii si ajabu kwa maisha bora na makusanyo ya kodi Dar ingekuwa inaisubiri hiyo mikoa. Mwanza imezungukwa na wakazi Million 10 ambao strategically wanautegemea huo mkoa. Mtu wa Mara, Bukoba, Kahama, Geita, Tabora wasingetakiwa waende Kariakoo kufunga mzigo. Hao wote wangetakiwa washuke Mwanza wafunge mzigo. Huku Arusha na Kilimanjaro wengi huwa hawaendi Dar kufunga mzigo, wanaenda Nairobi. Hivyo hivyo Mwanza ingetakiwa ihudumie 10 Million population lakini cha ajabu mtu anatoka Geita na Tabora kwenda Dar kuchukua mzigo. Alafu wako hapa wanasema mji wao ni wa kibiashara... Mji wa Kibiashara mnashindwa hata kukusanya kodi kuwazidi Kilimanjaro?? Mji wa biashara Dar inakusanya 75% ya kodi yote Tanzania ila Mwanza hata 1% haifiki alafu wamezungukwa na watu million 10 na bila aibu wanajiita mji wa kibiashara..

Mwanza imezungukwa na miji yenye utitiri wa madini, iko strategic kuunganisha nchi za Maziwa makuu ila wako dhoofu sana. Ukiangalia HDI ya Mwanza ulinganishe na zile za Arusha, Dar na Kilimanjaro unaweza kulia. Ukiangalia GDP Per Capita ya Mwanza ulinganishe na Arusha, Dar na Kilimanjaro utashangaa..

Kwahiyo hata Dar nao ni masikini???

Tunaongelea kwa uchumi wa Tanzania within the country report iliyosomwa bungeni ilifanywa na UNDP na huwa ni comparison na mataifa mengine.

Sasa tukija kwa regional development index unapata picha kamili Dar Kilimanjaro Arusha Manyara na Pwani ni mikoa tajiri na Mwanza na marafiki zake ni mikoa masikini iliyopindikia.

Pia jiulize inakuaje mikoa tajiri ipo karibu karibu???

Kilimanjaro Arusha Manyara.

Dar Pwani

Kagera Geita Mwanza

Ni kwamba hiyo mikoa ukiachilia mbali interrelationships economically hata watu wake pia ni tofauti na hayo maeneo mengine.

Dar na Pwani wapo developed sanasana ni makao makuu ya nchi ndio yaliyowabeba shughuli zote za kiuchumi zipo Dar kutokana na mipango ya serikali lakini mikoa ya kaskazini ni kutokana na juhudi zao binafsi hakuna any major government influential ukilinganisha na Dar.

Na ndio maana nikamwambia kama watu wa Arusha na Kilimanjaro ndio wangekuwa wakazi wa Mwanza na Shinyanga leo hii Shinyanga na Mwanza ingekuwa habari nyingine.. Hata kwenye makusanyo ya kodi na uwekezaji wa viwanda mbalimbali na biashara mbalimbali za uchuhuzi. Watu wa kanda ya ziwa wote plus Kigoma, Rwanda, Burundi wangekuwa wanakuja kufunga mizigo yao Mwanza na si kwenda Dar/Kariakoo ambako ni umbali mrefu zaidi. Ule uwanja wa ndege ungeshapanuliwa siku nyingi kwasababu lazima kungekuwa na direct flights kutoka huko Duniani kuja pale kwa either wafanyabiashara kusafiri kwenda kununua mizigo au wawekezaji mbalimbali kuja kutafuta fursa. Uwezi ukazungukwa na watu million 10 ukabaki unafanya biashara ya samaki tu..

Hii ni kweli tupu Mwanza wapo strategically potential lakini bado sana kwenye resources exploitation hawajautilize ipasavyo ukilinganisha na kaskazini empire ambao wapo mbele sana in every sector on top of that pia ni runners wa uchumi wa Mwanza yenyewe.

Leo me nimeshakuambia ni facts tu huko kwenye picture nimeshakupiga buku - 17.

tax-png.406062


Soma graph data Mkuu aliyoileta hapo jaribu kuangalia tofauti ya Arusha na Mwanza kwa ukusanyaji wa mapato kwa 2014/2015 na 2015/2016 utaona Arusha imepanda zaidi ya 60% ya mwaka jana huku Mwanza ikipanda kwa 24% ukilinganisha na mwaka jana tafadhali zingatia population baina ya mikoa hiyo miwili.
 
Hvi nyie..tunazungumzia cities Au tunalinganisha tax collection statistics between two regions?.. Wengine mnaingiza mpak concept za kiukabila hapa....manyara inazd mwanza ukusanyaji wa mapato, kwa hyo babati ipo step ahead kuzid mwanza city? The same applied to mosh town je inaizid mwanza city kwa sababu Kilimanjaro ipo more step kwenye ukusanyaji wa mapato? Mtwara je na yenyewe ipo mbele zaid? Ukitoa dar, mwanza ndo mji wenye demand ya Huduma nying kuliko hata hyo arusha ila kwa vile elimu ilianzia kaskazini na watu weng wa kule wakaingia serikalini Huduma nying walipeleka arusha.....!! Na wakabebana na walivyo na roho mbaya ukabila umewajaa mpak mahofsini....hawatak watu wengne waendelee hasa kielimu...tunategemea bas arusha ungekuwa mji mkuu na mkubwa tz lakini wap... Mji choka mbaya tuuu....arusha kuna HQ ya vyuo vikuu vingi, arusha kuna viwanda vingi but mji chokaaaa.... Bidhaa zote mnazarisha ila lazima mlete huku mwanza...na ndo maana mwanza inakua kuliko hyo arusha....but return ya kodi inaanzia pale bidhaa zinapozalishwa thus y mpo mbele kwa ukusanyaji.....kuhusu umaskini ni kuwa mlijitahd kubebana baada ya kuwah kupata elimu kipind ambacho mikoa mingne haikupata chance hyo....na mfumo wa serikali ulipoanza mkajaa serikalini na mkanyanyua kwenu ndo maana mna maendeleo...but mwanza is mwanza tuuu...mbal na changamoto zilizopo ila mji unaenda....hakuna chuo cha serikali HQ...hakuna ofc kubwa za serikali, yaani cha serikali hakipo kabisaa chochote, kwenye migodi mmejazana wachaga, ofc za ardhi mmejaa na kaz yenu ni kukandamiza wananchi kwa dhuluma kisa mpo serikalini na kupeana maeneo ya uwekezaji.....utajenga kiwanda arusha ila utakuja kutafuta Wateja mwanza.....mashirika makubwa yanaongozwa na watu wa kaskazini kaz kwao ni kuelekeza mirad home kwao....rasilimali watu ni ya maana kuliko rasilimali Fedha....
Ni wapi Manyara imeonyeshwa inaizidi Mwanza kwa ukusanyaji wa mapato??

Maisha ya Kilimanjaro ni ya juu na bora kuliko Mwanza.. Hilo halina ubishi. Kilimanjaro ina vyuo vingi kuliko Mwanza, ina hospitali nyingi teule kuliko Mwanza.. Ina kila kitu zaidi ya Mwanza ambacho mwanadamu anakihitaji.. Mwanza imeizidi Kilimanjaro majengo tu na population na si kingine.. Mzunguko wa pesa Kilimanjaro ni mkubwa kuliko Mwanza.
 
Arusha population ndogo karibia theluthi ya Mwanza ila inalipa kodi mara 3 ya Mwanza... Sasa hapo ukwepaji wa kodi uko wapi labda??

Sipatii picha kama lile tetemeko la Bukoba lingetokea kule milimani Mwanza.. Robo 3 ya watu wa Mwanza wangefukiwa na majabali na mawe wote
hahahahhahaha yaani chalii unatuombea kifo kiasi iko chalii sio vizuri ivooo chalii sisi sote ni watanzaniaa mwanza na arusha ni kitu kimoja maneno ya humu yasikujengee chukii jamaa....yanapita tu then life baadae inasonga kama kawa
 
Hvi nyie..tunazungumzia cities Au tunalinganisha tax collection statistics between two regions?.. Wengine mnaingiza mpak concept za kiukabila hapa....manyara inazd mwanza ukusanyaji wa mapato, kwa hyo babati ipo step ahead kuzid mwanza city? The same applied to mosh town je inaizid mwanza city kwa sababu Kilimanjaro ipo more step kwenye ukusanyaji wa mapato? Mtwara je na yenyewe ipo mbele zaid? Ukitoa dar, mwanza ndo mji wenye demand ya Huduma nying kuliko hata hyo arusha ila kwa vile elimu ilianzia kaskazini na watu weng wa kule wakaingia serikalini Huduma nying walipeleka arusha.....!! Na wakabebana na walivyo na roho mbaya ukabila umewajaa mpak mahofsini....hawatak watu wengne waendelee hasa kielimu...tunategemea bas arusha ungekuwa mji mkuu na mkubwa tz lakini wap... Mji choka mbaya tuuu....arusha kuna HQ ya vyuo vikuu vingi, arusha kuna viwanda vingi but mji chokaaaa.... Bidhaa zote mnazarisha ila lazima mlete huku mwanza...na ndo maana mwanza inakua kuliko hyo arusha....but return ya kodi inaanzia pale bidhaa zinapozalishwa thus y mpo mbele kwa ukusanyaji.....kuhusu umaskini ni kuwa mlijitahd kubebana baada ya kuwah kupata elimu kipind ambacho mikoa mingne haikupata chance hyo....na mfumo wa serikali ulipoanza mkajaa serikalini na mkanyanyua kwenu ndo maana mna maendeleo...but mwanza is mwanza tuuu...mbal na changamoto zilizopo ila mji unaenda....hakuna chuo cha serikali HQ...hakuna ofc kubwa za serikali, yaani cha serikali hakipo kabisaa chochote, kwenye migodi mmejazana wachaga, ofc za ardhi mmejaa na kaz yenu ni kukandamiza wananchi kwa dhuluma kisa mpo serikalini na kupeana maeneo ya uwekezaji.....utajenga kiwanda arusha ila utakuja kutafuta Wateja mwanza.....mashirika makubwa yanaongozwa na watu wa kaskazini kaz kwao ni kuelekeza mirad home kwao....rasilimali watu ni ya maana kuliko rasilimali Fedha....
‘Mikoa mitano maskini zaidi Tanzania hii hapa”

Serikali imesema kuwa Kigoma, Geita, Kagera, Singida na Mwanza ndiyo mikoa mitano maskini zaidi nchini

Hiyo ndio main point
 
Hvi nyie..tunazungumzia cities Au tunalinganisha tax collection statistics between two regions?.. Wengine mnaingiza mpak concept za kiukabila hapa....manyara inazd mwanza ukusanyaji wa mapato, kwa hyo babati ipo step ahead kuzid mwanza city? The same applied to mosh town je inaizid mwanza city kwa sababu Kilimanjaro ipo more step kwenye ukusanyaji wa mapato? Mtwara je na yenyewe ipo mbele zaid? Ukitoa dar, mwanza ndo mji wenye demand ya Huduma nying kuliko hata hyo arusha ila kwa vile elimu ilianzia kaskazini na watu weng wa kule wakaingia serikalini Huduma nying walipeleka arusha.....!! Na wakabebana na walivyo na roho mbaya ukabila umewajaa mpak mahofsini....hawatak watu wengne waendelee hasa kielimu...tunategemea bas arusha ungekuwa mji mkuu na mkubwa tz lakini wap... Mji choka mbaya tuuu....arusha kuna HQ ya vyuo vikuu vingi, arusha kuna viwanda vingi but mji chokaaaa.... Bidhaa zote mnazarisha ila lazima mlete huku mwanza...na ndo maana mwanza inakua kuliko hyo arusha....but return ya kodi inaanzia pale bidhaa zinapozalishwa thus y mpo mbele kwa ukusanyaji.....kuhusu umaskini ni kuwa mlijitahd kubebana baada ya kuwah kupata elimu kipind ambacho mikoa mingne haikupata chance hyo....na mfumo wa serikali ulipoanza mkajaa serikalini na mkanyanyua kwenu ndo maana mna maendeleo...but mwanza is mwanza tuuu...mbal na changamoto zilizopo ila mji unaenda....hakuna chuo cha serikali HQ...hakuna ofc kubwa za serikali, yaani cha serikali hakipo kabisaa chochote, kwenye migodi mmejazana wachaga, ofc za ardhi mmejaa na kaz yenu ni kukandamiza wananchi kwa dhuluma kisa mpo serikalini na kupeana maeneo ya uwekezaji.....utajenga kiwanda arusha ila utakuja kutafuta Wateja mwanza.....mashirika makubwa yanaongozwa na watu wa kaskazini kaz kwao ni kuelekeza mirad home kwao....rasilimali watu ni ya maana kuliko rasilimali Fedha....
Mkuu hapo kwenye upendeleo unaosema naomba uhold mjadala tuuendeleze baadae tena nitakuwekea mpaka viambatanisho humu kuonyesha uongo wako..

Miaka ya 50 tayari wachagga walikuwa na serikali yao na walichangishana kutengeneza barabara, madaraja, kujenga shule na zahanati pamoja na kusomesha watoto.. Kwa sasa sipo nyumbani subiri nikirudi huu mjadala tuuendeleze ili ninyi mnaosema eti kunapendelea muumbuke..
 
umeongea mambo mengi lakini umeongea mambo ya kitoto yote...hivi adi saiv kwa umri wako hujajua kutetea mji wako unaoishi ata kumshawishi mwekezaji aje awekeze??? kwa IQ yako tanzania na arusha kwa ujumla ina kazi ya ziada kama watu wake ndioo wanaupeo kama huu...eti mtaani unapishana na wazungu hhahahahahha braza ndioo nikweli wazungu ni wengi lakini sio suala la kuzungumza mbele ya watu ukiwa unatetea sifa za kimaendeleo kuhusu mkoa wako...jamaaa umewakosea heshima watu wa arusha kwa hizo point zaki
Nashukuru maana umesoma nilichoandika....Hahaha! Daah
 
‘Mikoa mitano maskini zaidi Tanzania hii hapa”

Serikali imesema kuwa Kigoma, Geita, Kagera, Singida na Mwanza ndiyo mikoa mitano maskini zaidi nchini

Hiyo ndio main point
Okey...mkoa wa mwanza ni maskini..but jiji la mwanza huwez linganisha na utumbo wa jiji la arusha hyo ndo main point
 
Mkuu hapo kwenye upendeleo unaosema naomba uhold mjadala tuuendeleze baadae tena nitakuwekea mpaka viambatanisho humu kuonyesha uongo wako..

Miaka ya 50 tayari wachagga walikuwa na serikali yao na walichangishana kutengeneza barabara, madaraja, kujenga shule na zahanati pamoja na kusomesha watoto.. Kwa sasa sipo nyumbani subiri nikirudi huu mjadala tuuendeleze ili ninyi mnaosema eti kunapendelea muumbuke..
Zunguka kote na hzo data zako lakini uelewe kuwa arusha haina msuli mzito wa kuikabili mwanza city..kama ni kodi endeleeni kutoa kwa uaminifu
 
Nikikwambia Ngurdoto imezungukwa na nyumba kila upande utakubali??
Japo overview yake inaonyesha mashamba.

Tambua arusha hamna mbanano ukiona hotel imrzungukwa na miti sio kama ipo kichakani kwanza arusha watu wanapenda kupanda miti sana hivyo unavyoona miti mingi sio kama hakuna makazi ya watu yapo hukohuko ndani ya miti.

Na hii ndio inafanya watu wanaokuja na mabasi kutoka dar waone Arusha sio kivile wanapoona road ya arusha-moshi imezungukwa na miti tu kumbe wakiingia ndani kidogo ni Habari nyingine.
Mfano moshono unaweza kuzani ni vichakani ila ukikaa kwenye view nzuri utaona majengo kama mbele.
 
Zunguka kote na hzo data zako lakini uelewe kuwa arusha haina msuli mzito wa kuikabili mwanza city..kama ni kodi endeleeni kutoa kwa uaminifu
Kiashiria kikubwa cha mji wenye maendeleo ni kodi na si longo longo... Endelea kujidanganya
 
Okey...mkoa wa mwanza ni maskini..but jiji la mwanza huwez linganisha na utumbo wa jiji la arusha hyo ndo main point
sasa jiji la Mwanza ambalo 85% ndio linazalisha regional income linaepukaje hapo??

Ilemela na nyamagana ndio mzalishaji mkuu usitake kuwatupia mzigo busisi sengerema na magu population kubwa ya Mwanza ambayo ndio labor power ya hiyo sum of tax wapo jijini Mwanza.

Utachekwa ukizitenga wilaya za peripherals tena ukitoa contributions zao hapo kwenye total collection ndio mtabaki na zerooos kabisa shukuri zimeboost jiji.

Wenzenu wanakomaa na pamba huko na uvuvi eti unasema hapa tunaongelea jiji???
 
sasa jiji la Mwanza ambalo 85% ndio linazalisha regional income linaepukaje hapo??

Ilemela na nyamagana ndio mzalishaji mkuu usitake kuwatupia mzigo busisi sengerema na magu population kubwa ya Mwanza ambayo ndio labor power ya hiyo sum of tax wapo jijini Mwanza.

Utachekwa ukizitenga wilaya za peripherals tena ukitoa contributions zao hapo kwenye total collection ndio mtabaki na zerooos kabisa shukuri zimeboost jiji.

Wenzenu wanakomaa na pamba huko na uvuvi eti unasema hapa tunaongelea jiji???
Jiji lenyewe halina lolote ni upuuzi tu..
 
Back
Top Bottom