Hahahahahahhaaaaaaaa,kweli ana KIRANGA huyooo,ndevu 8
Waacheni wabwate, wengine safari ndio wanaanza na walikuwa hawana ndoto hata za kutoka kijijini kwao. Kwa hiyo hata the basics of netiquette na decorum hawajui.Unasoma thread unaona kabisa huyu mtu katoka chini ya jiwe. Wewe unasafiri unaenda mpaka bongo ndiyo unajua kuna tatizo la umeme? Huna utashi au internet?Au ndiyo kutukoga tu siye wengine kina Kakamiye?