The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Babu umemuona mfadhili Biggy hapo chiniMichelle.........wivu au?
Babu umemuona mfadhili Biggy hapo chiniMichelle.........wivu au?
Khe Kheee Kheee nimewekewa tracking systemNitafurahi.....plz do that.....
Michelle.........wivu au?
Khe Kheee Kheee nimewekewa tracking system
Amen, Mungu akujaalie hekima na busara utoke kwenye huu utata uwe na raha badala ya kharaha!alhamdulillah abuy illa kheyr nashkur.... inshallah iendelee kung'aa mpaka nikiiondoka jf..maana niko matatani tuu ,,,raha hakuna tena...
Usichezeee........utalowa.....wa nini wakati nina wangu....sitaki tu atajwe tajwe.....:coffee::coffee:
Usichezeee........utalowa.....
:laugh::laugh::laugh::laugh: Usichezee........utalowaUna maana gani??
See i am behavingBEHAVE,we are watching you.....
Hahaha Mfadhili anacheki na kudadavua wapi apige "come this way" ogopa sana wafadhili dezaini ya Manji.Babu umemuona mfadhili Biggy hapo chini
Amen, Mungu akujaalie hekima na busara utoke kwenye huu utata uwe na raha badala ya kharaha!
Duh Asprin comment yako kwa mwanzo kwenye thread hii hata kui-quote nimeshindwa, nimeogopa nimeona itanitoa udhu!!! hahahah
Hahahaha!!! Naona anapitia ili aweze kufanya reference vizuri akiingia humu wote mnapigwa vikumboHahaha Mfadhili anacheki na kudadavua wapi apige "come this way" ogopa sana wafadhili dezaini ya Manji.
Shkamoo mwalimu wangu. Hivi lile ombi letu ni mpaka tufanye yaliyojiri Cairo?