Niletee CV yako haraka!!!! nikafurahi

Watanzania tuna matatizo nchi nzima ni customer complication hakuna customer care yaani mtu anakusudia kkukunyima kitu alafu anakutafutia sababu yaani ni upuuzi mtupu nchi imeoza.
 
Aisee benki sio sawa na chuoni; hakuna kitu kama what is ........... halafu umalizie, ni lazima ujue english (kasome short course na upate cheti uambatanishe na hivyo vya elimu ya juu)
 
Ma-Hr Siyo wajinga mkuu,ndy vile tena upenyo mdogo na watu kibao wanataka kazi. Imagine mtu mwingine ananvyo kama ww,except hiyo D yako yeye ana A bado unataka wakupe ww tu kazi? Kuwa na aibu,utakula ulicho panda ww omba mungu tu. Usimlaumu Dobi wkt rangi ya kaniki unaijua mkuu Look for another pasture
 
Bora ww ulipata majibu jana hiyo hiyo sisi tulienda omba kz UDOM mpaka leo majb hakuna labda hatujui Kiswahili lugha ya Taifa
 
niombee kwa jamaa yako na mie anipigie pande,nna A ya english!!!sasa tuone wanatafuta sababu gani
 
wewe ukiaply kazi then ukamkuta HR ambae hana ata izo marks ulizonazo usitegemee kuajiliwa hapo.alafu kama hujui udini umeshamili sana makazini, mkristo hatoi kwa muislam na muislam hatoi kazi kwa mkristo uo ndo ukweli na nna maevidence ya kutosha
 
katika harakati za kutafuta kazi nilikutana na rafiki yangu ambaye tulisoma naye shule moja olevel,akaamua kunipigia pande kwa jamaa mmoja benki!!
nikaambiwa nipelekee cv haraka,kweli siku ya j3 30/4/2012 mchana huku mvua ikininyeshea nilijikuta maeneo ya posta nikitafuta hiyo benki niweze kumpa jamaa cv yangu,mie nina degree ya finance and investment!!!
jioni yake nilipigiwa simu na rafiki yangu kuwa sijakidhi vigezo vyao kwa kuwa nina D ya english ya olevel,eti nilitakiwa kuwa na angalau C ingawa kwenye kigezo cha hesabu nimefaulu kwani nina B ya olevel na kufanya vizuri kwenye kozi za hesabu za chuo,na pia uwezo wa kufanya kazi ninao kwakweli,ila sbb ya D ya english nimekosa kupewa nafasi!!!!yaani nimeshangaa sana na kuona kuwa wapo wengi wanakosa kazi kwa sbb tu hawa ma-hr ni mbumbumbu wa kutosha!!!!!!sijielewi mpaka sasa maana nikikumbuka nacheka mwenyewe!!!

CV ulipeleka na transcripts zako? walionaje hizo grades?
Pole lakini, usikate tamaa mkuu.
 
katika harakati za kutafuta kazi nilikutana na rafiki yangu ambaye tulisoma naye shule moja olevel,akaamua kunipigia pande kwa jamaa mmoja benki!!
nikaambiwa nipelekee cv haraka,kweli siku ya j3 30/4/2012 mchana huku mvua ikininyeshea nilijikuta maeneo ya posta nikitafuta hiyo benki niweze kumpa jamaa cv yangu,mie nina degree ya finance and investment!!!
jioni yake nilipigiwa simu na rafiki yangu kuwa sijakidhi vigezo vyao kwa kuwa nina D ya english ya olevel,eti nilitakiwa kuwa na angalau C ingawa kwenye kigezo cha hesabu nimefaulu kwani nina B ya olevel na kufanya vizuri kwenye kozi za hesabu za chuo,na pia uwezo wa kufanya kazi ninao kwakweli,ila ME
 
Wengine wanazingua unaweza ukakuta hzo cv zako kuna mtu anapiga kazi alikua anataka kumuingizia ndugu yake coz me baba yangu mdogo ilimtokea km hvyo kapeleka cv anaona cku zinaenda haitwi anafuatilia anakuta kuna mtu anatumia jina lake
 
Back
Top Bottom