msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
katika harakati za kutafuta kazi nilikutana na rafiki yangu ambaye tulisoma naye shule moja olevel,akaamua kunipigia pande kwa jamaa mmoja benki!!
nikaambiwa nipelekee cv haraka,kweli siku ya j3 30/4/2012 mchana huku mvua ikininyeshea nilijikuta maeneo ya posta nikitafuta hiyo benki niweze kumpa jamaa cv yangu,mie nina degree ya finance and investment!!!
jioni yake nilipigiwa simu na rafiki yangu kuwa sijakidhi vigezo vyao kwa kuwa nina D ya english ya olevel,eti nilitakiwa kuwa na angalau C ingawa kwenye kigezo cha hesabu nimefaulu kwani nina B ya olevel na kufanya vizuri kwenye kozi za hesabu za chuo,na pia uwezo wa kufanya kazi ninao kwakweli,ila sbb ya D ya english nimekosa kupewa nafasi!!!!yaani nimeshangaa sana na kuona kuwa wapo wengi wanakosa kazi kwa sbb tu hawa ma-hr ni mbumbumbu wa kutosha!!!!!!sijielewi mpaka sasa maana nikikumbuka nacheka mwenyewe!!!
nikaambiwa nipelekee cv haraka,kweli siku ya j3 30/4/2012 mchana huku mvua ikininyeshea nilijikuta maeneo ya posta nikitafuta hiyo benki niweze kumpa jamaa cv yangu,mie nina degree ya finance and investment!!!
jioni yake nilipigiwa simu na rafiki yangu kuwa sijakidhi vigezo vyao kwa kuwa nina D ya english ya olevel,eti nilitakiwa kuwa na angalau C ingawa kwenye kigezo cha hesabu nimefaulu kwani nina B ya olevel na kufanya vizuri kwenye kozi za hesabu za chuo,na pia uwezo wa kufanya kazi ninao kwakweli,ila sbb ya D ya english nimekosa kupewa nafasi!!!!yaani nimeshangaa sana na kuona kuwa wapo wengi wanakosa kazi kwa sbb tu hawa ma-hr ni mbumbumbu wa kutosha!!!!!!sijielewi mpaka sasa maana nikikumbuka nacheka mwenyewe!!!