KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,596
Wakuu nimefuatilia nimekoswa jibu! Mwisho wa siku nimeamua kuleta hapa JF kwa wadadavuzi!
Jamani hizi hizi simu simu za viganjani zina mambo!!Nimekuwa nikitizama kule na huko nipitapo katika kusaka mkwanja ila hasa ile mida yakutoka maofisini wakati kurudi majumbani mwetu wengi wetu wamekuwa wakikaa kitako nakuwa busy na simu!!ukichungulia unakuta ana delete messages.incoming call,dialled call's,missed call,Kwakweli katika utafiti huu niwengi nilioona kwa rika tofauti wanumme,wanwake ndo wengi!!Hata akina mama watu wazima Sasa mimi sijui kwanini??:confused2:
Jamani hizi hizi simu simu za viganjani zina mambo!!Nimekuwa nikitizama kule na huko nipitapo katika kusaka mkwanja ila hasa ile mida yakutoka maofisini wakati kurudi majumbani mwetu wengi wetu wamekuwa wakikaa kitako nakuwa busy na simu!!ukichungulia unakuta ana delete messages.incoming call,dialled call's,missed call,Kwakweli katika utafiti huu niwengi nilioona kwa rika tofauti wanumme,wanwake ndo wengi!!Hata akina mama watu wazima Sasa mimi sijui kwanini??:confused2: