Nikuweka mambo sawa au kuna ubadhilifu??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,596
Wakuu nimefuatilia nimekoswa jibu! Mwisho wa siku nimeamua kuleta hapa JF kwa wadadavuzi!
Jamani hizi hizi simu simu za viganjani zina mambo!!Nimekuwa nikitizama kule na huko nipitapo katika kusaka mkwanja ila hasa ile mida yakutoka maofisini wakati kurudi majumbani mwetu wengi wetu wamekuwa wakikaa kitako nakuwa busy na simu!!ukichungulia unakuta ana delete messages.incoming call,dialled call's,missed call,Kwakweli katika utafiti huu niwengi nilioona kwa rika tofauti wanumme,wanwake ndo wengi!!Hata akina mama watu wazima Sasa mimi sijui kwanini??:confused2:
 
Wakuu nimefatilia nimekiswa jibu mwishowa siku nimeamua kuleta hapa JF kwa wadadavuzi
Jamani hizi hizi simu simu za viganjani zina mambo!!Nimekuwa nikitizama kule nahuko nipitapo katika kusaka mkwanja ila nimeona ile mida ya kurudi majumbani mwetu wengi wetu wamekuwa wakikaa kitako nakuwa busy nasimu!!ukichungulia unakuta ana delete messages.incoming call,dialled call's,missed call,Kwakweli katika utafiti huu niwengi nilioona kwa rika tofauti wanumme,wanwake ndo wengi!!Sasa mimi sijui kwanini??:confused2:

Cheating.

Kuna kuwa na mikataba kabisa: "Nikiwa home, don't call me. Neither send a message to me."

Kwahiyo kufuta messages na call logs ni kuondoa footprints na ni seheme ya kutekeleza mkataba huo. (Mimi mwenyewe mmoja wao)
 
Wakuu nimefatilia nimekiswa jibu mwishowa siku nimeamua kuleta hapa JF kwa wadadavuzi
Jamani hizi hizi simu simu za viganjani zina mambo!!Nimekuwa nikitizama kule nahuko nipitapo katika kusaka mkwanja ila nimeona ile mida ya kurudi majumbani mwetu wengi wetu wamekuwa wakikaa kitako nakuwa busy nasimu!!ukichungulia unakuta ana delete messages.incoming call,dialled call's,missed call,Kwakweli katika utafiti huu niwengi nilioona kwa rika tofauti wanumme,wanwake ndo wengi!!Sasa mimi sijui kwanini??:confused2:
Huh...dont tell me broda!
Inamaanisha wanakuwa na illegal sms and calls sio?...mbaya sana
Halafu anarudi nyumbani anakwambia "i lafu (lough) you so much!...si ni utapeli huu!
 
Watu wengi wanacheat sana katika mahusiano, na hii inatokana na kuwa katika relationships kwa kulazimisha tu.

Elimu ya mahusiano inatakiwa zaidi, wazazi wawajibike kuwaeleza watoto mambo ya mahusiano.
Aibu kwa wazazi kuwaelewesha watoto inaleta athali kubwa sana kwa wahusika. Watu wanapoteza muda mwingi sana kushughulikia migogoro ya relationships.
 
Hii yote ni CHEATING na si vinginevyo....! Are you not aware that every body cheats? Please, NO one never cheated in a relationship, unless he/she is not in a relationship...!
 
Hii yote ni CHEATING na si vinginevyo....! Are you not aware that every body cheats? Please, NO one never cheated in a relationship, unless he/she is not in a relationship...!

Kweli mkuu??hapo kwenye red Baba askofu,FL1,Buji,Handsome,Mkj,Nyamayao,Fl80,Katerero,NN and other nitilie ubarikio wa maneno hayo ya Konakali!:becky:
 
Hii yote ni CHEATING na si vinginevyo....! Are you not aware that every body cheats? Please, NO one never cheated in a relationship, unless he/she is not in a relationship...!

This is the truth. the whole truth, and nothing but the truth!!!
 
Kweli mkuu??hapo kwenye red Baba askofu,FL1,Buji,Handsome,Mkj,Nyamayao,Fl80,Katerero,NN and other nitilie ubarikio wa maneno hayo ya Konakali!:becky:

Siyo kweli kuwa watu woooote wanacheat. Ila ukweli ni kuwa watu wengi wanacheat au wanafanya jitihada kucheat.

Hata hivyo kufuta taarifa kwenye simu siyo lazima iwe ishara ya kucheat. Kuna wengine wanakosa kazi na kuanza kucheza na simu tu, mwisho wanaishia kufuta hizo records. Na wengine wanaondoa records ambazo labda zinaweza kuleta utata endapo zitasomwa na wenzi wao. Kwa mfano, sitafurahi nikikuta wife anabadilishana SMS na shoga wake kuhusu good/bad time alizopata wakati akiwa na ex-BF wake. Pia kuna sms nyingine za utani, watu hawataki kuzitunza. Kwa hiyo huwezi kutumia huo uzoefu wa kuona tu watu wanafuta phone records ukadai ni kwa sababu ya cheating, ingawa haiondoi uwezekano wa hicho kitu.
 
Siyo kweli kuwa watu woooote wanacheat. Ila ukweli ni kuwa watu wengi wanacheat au wanafanya jitihada kucheat.

Hata hivyo kufuta taarifa kwenye simu siyo lazima iwe ishara ya kucheat. Kuna wengine wanakosa kazi na kuanza kucheza na simu tu, mwisho wanaishia kufuta hizo records. Na wengine wanaondoa records ambazo labda zinaweza kuleta utata endapo zitasomwa na wenzi wao. Kwa mfano, sitafurahi nikikuta wife anabadilishana SMS na shoga wake kuhusu good/bad time alizopata wakati akiwa na ex-BF wake. Pia kuna sms nyingine za utani, watu hawataki kuzitunza. Kwa hiyo huwezi kutumia huo uzoefu wa kuona tu watu wanafuta phone records ukadai ni kwa sababu ya cheating, ingawa haiondoi uwezekano wa hicho kitu.

Dark City Asante nadhani alipo Konakali atakuwa amekuelewa ila kama ananyongeza ngoja tumsubiri tuone nikwanini kila mara ifikapo nyakati za kufunga ofisi watu kitu chakwanza nikufuta record zote kwenye simu zao za vianjani hata wakati watu wapo baa tabia hii huendelea na bahati mbaya lager ikikolea akasahau uwiiiiiiiiiii huko nyumbani mzee mzima anaweza kuja na hogo(P.O.P) asubuhi!! Ukiwa naye karibu utasikia simu bwana!!!:becky:
 
Dark City Asante nadhani alipo Konakali atakuwa amekuelewa ila kama ananyongeza ngoja tumsubiri tuone nikwanini kila mara ifikapo nyakati za kufunga ofisi watu kitu chakwanza nikufuta record zote kwenye simu zao za vianjani hata wakati watu wapo baa tabia hii huendelea na bahati mbaya lager ikikolea akasahau uwiiiiiiiiiii huko nyumbani mzee mzima anaweza kuja na hogo(P.O.P) asubuhi!! Ukiwa naye karibu utasikia simu bwana!!!:becky:

Poa Mkuu.
Hata hivyo inabidi kukumbuka kuwa simu zimekuja jana tu wakati binadamu amekuwepo miaka kibao. Mambo ya kawaida katika maisha ya binadamu (ikiwemo biashara, mahusiano pamoja na cheating n.k) yamekuwa yakiendelea kwa karne nyingi tu. Simu zinasaidia katika mambo mengi kwa hiyo inabidi tuache kujielekeza kwenye cheating na ngono tu. Kwani watu wasio na simu wanafanyaje infidelity?
 
hii yote ni cheating na si vinginevyo....! Are you not aware that every body cheats? please, no one never cheated in a relationship, unless he/she is not in a relationship...!

i don't cheat in relationship, i have never cheated and i will never cheat
 
Hii yote ni CHEATING na si vinginevyo....! Are you not aware that every body cheats? Please, NO one never cheated in a relationship, unless he/she is not in a relationship...!


I never cheat to my lovely One, and I have no plan to do so!.
 
i don't cheat in relationship, i have never cheated and i will never cheat

It may be true that Now you dont cheat in relationship and probabily you will never cheat in the future BUT i dont think to be true that You have NEVER cheated. I think that is CHEATING
 
It may be true that Now you dont cheat in relationship and probabily you will never cheat in the future BUT i dont think to be true that You have NEVER cheated. I think that is CHEATING

You know when you are cheating you think everybody cheats that's the problem, If you are cheating its you please do not associate others as well to try to make it look like its a whole universe
 
Cheating.

Kuna kuwa na mikataba kabisa: "Nikiwa home, don't call me. Neither send a message to me."

Kwahiyo kufuta messages na call logs ni kuondoa footprints na ni seheme ya kutekeleza mkataba huo. (Mimi mwenyewe mmoja wao)


Bora umejisemea ukweli.............. ni vizuri kutokwazana
 
Dark City Asante nadhani alipo Konakali atakuwa amekuelewa ila kama ananyongeza ngoja tumsubiri tuone nikwanini kila mara ifikapo nyakati za kufunga ofisi watu kitu chakwanza nikufuta record zote kwenye simu zao za vianjani hata wakati watu wapo baa tabia hii huendelea na bahati mbaya lager ikikolea akasahau uwiiiiiiiiiii huko nyumbani mzee mzima anaweza kuja na hogo(P.O.P) asubuhi!! Ukiwa naye karibu utasikia simu bwana!!!:becky:

Hivi unaanzaje kuchukua simu ya mwenzio na kuanza kui-search? mi hainiingii akilini! simu ni yake. na huyo mtu ana watu wanataniana, wanatumiana sms za utani nk. sasa kusearch simu yake si kujitafutia ugonjwa wa moyo? Simu ni private thing bwana, yaani mtu asiwe na uhuru na simu yake kisa kaoa/kaolewa? tupeane nafasi jamani
 
Hivi unaanzaje kuchukua simu ya mwenzio na kuanza kui-search? mi hainiingii akilini! simu ni yake. na huyo mtu ana watu wanataniana, wanatumiana sms za utani nk. sasa kusearch simu yake si kujitafutia ugonjwa wa moyo? Simu ni private thing bwana, yaani mtu asiwe na uhuru na simu yake kisa kaoa/kaolewa? tupeane nafasi jamani

no way
 
Back
Top Bottom