Nikurudishe form one!

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Bakuli lenye jiwe ndani yake linaelea katika maji yaliyomo kwenye dishi kubwa.Kutokana na kuelea kwa bakuli hilo,kina cha maji yaliyomo kwenye dishi kilipanda.Baada ya hapo jiwe likatolewa na kuzamishwa kwenye maji ndani ya dishi na bakuli tupu likaendelea kuelea.Nini kitatokea kwa kina cha maji yaliyomo katika dishi,je kina kitapanda au kushuka au kitabaki vile vile kama wakati jiwe liko ndani ya bakuli?
 
Bakuli lenye jiwe ndani yake linaelea katika maji yaliyomo kwenye dishi kubwa.Kutokana na kuelea kwa bakuli hilo,kina cha maji yaliyomo kwenye dishi kilipanda.Baada ya hapo jiwe likatolewa na kuzamishwa kwenye maji ndani ya dishi na bakuli tupu likaendelea kuelea.Nini kitatokea kwa kina cha maji yaliyomo katika dishi,je kina kitapanda au kushuka au kitabaki vile vile kama wakati jiwe liko ndani ya bakuli?
haaa haaa hiii huuu haaiii haa huuuuu tehteh ,,,kweli hii kali...!!!...,bomboclat weka vichekesho..
 
Back
Top Bottom