Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Bakuli lenye jiwe ndani yake linaelea katika maji yaliyomo kwenye dishi kubwa.Kutokana na kuelea kwa bakuli hilo,kina cha maji yaliyomo kwenye dishi kilipanda.Baada ya hapo jiwe likatolewa na kuzamishwa kwenye maji ndani ya dishi na bakuli tupu likaendelea kuelea.Nini kitatokea kwa kina cha maji yaliyomo katika dishi,je kina kitapanda au kushuka au kitabaki vile vile kama wakati jiwe liko ndani ya bakuli?