salma juma
Member
- Oct 28, 2010
- 38
- 3
- Thread starter
- #101
nimerudi ndugu,unalolisema halina ukweli hata kwa aslimia 0,ulomtaja hana mume mie nna mume mtu wa mbeya,ulomtaja anamtoto molato mie mtoto wangu mswahili kuanzia rangi mpaka nywele,ulomtaja mwanae ana miaka saba wangu anamiaka 14....ila yeye ndo mwanzo wa mimi kuuliza swali langu lakini nlichokipata mungu anajua.Mmenihukumu kwa nisiyoyatenda wala si tabia zangu..kama ntaendelea kuwamo humu utagundua nani ni nani mpendwa sina haja ya kuchezea akili za watu.Ninamaanisha SHOSTI member wa JF ndiye Salma Juma. Kajisahau akiwa kalog in kama SHOSTI akajibu post kama SALMA JUMA. Mineisoma wakati naiquote ili kumwambia nilimwambia hapo juu, akawa tayari kaifuta.