Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
Mkuu,Ndio ni LEAH. Ukiniuliza ni kipi hasa sitaweza kukisema hasa na hata mimi sikijui ni kipi hasa.Kwa sababu kama ni uzuri wa sura huyu wa saivi kamfunika,tabia jibu sina kwa aliyoyatenda.Lakini moyo wangu unakuwaga na amani na furaha ya pekee ninapokuwa nae hata kabla sijafanya nae mapenzi.Ndo hivo mkuu
Pamoja ya kuwa sio ushauri wa maana! kwa sasa lakini naamini huyo Leah ungekuwa umemmega, wala asingekusumbua akili yako. roho inakuuma kwa kukupotezea muda wako, pesa zako ulizokuwa unajibana kwa kumtimizia mahitaji yeye.
Lakini mkuu hawa viumbe maadam bado unaivuta pumzi ya m/mungu na mishemishe za kupata pesa ziko palepale, hawa hamna kitu, atatokea mwenye mapenzi ya kweli kuliko huyo Leah wako.
Piga kimya na namba yake ifute kabisa, yaani mpotezee, mpende ulienae na muonyeshe mapenzi ya kweli Leah hakuwa riziki yako mkuu!