Mambo wana JF?
Mi nna mpenzi wng ambae kwakeli nilimpenda sana. Ila tatizo la uyo demu ni kwamba ye ni mtu wa dini sana kiasi cha kwamba nkimwambia tusex anakataa anasema 2subiri mpk ndoa.
Sasa cha ajabu uyo demu ht nkimwambia anikiss anadai hajazoea na hawezi kufny ivyo ila hajui kwanini.
Sasa juzi nlikaa sehem na mshkaji wng wa kiume mara yule demu akatokea na cha kwanza alichofny ni kumkiss mshkaji wng coz wanajuana then mi akanpa salamu ya kawaida 2.
Kiukwel iliniuma sana yani mm mwny demu cjawai kupigwa kiss coz anasm hajazoea then anafny k2 hiko kwa mtu mwngne mbele ya macho yng.
Mi nlichoamua ni kuvunja uhusiano naye ila bado cjamwambia.
Je waungwana huo naotaka kuchukua ni uamuzi sahihi? Nshaurini jamani coz nipo njia panda cjui ht nfanyeje.
Mi nna mpenzi wng ambae kwakeli nilimpenda sana. Ila tatizo la uyo demu ni kwamba ye ni mtu wa dini sana kiasi cha kwamba nkimwambia tusex anakataa anasema 2subiri mpk ndoa.
Sasa cha ajabu uyo demu ht nkimwambia anikiss anadai hajazoea na hawezi kufny ivyo ila hajui kwanini.
Sasa juzi nlikaa sehem na mshkaji wng wa kiume mara yule demu akatokea na cha kwanza alichofny ni kumkiss mshkaji wng coz wanajuana then mi akanpa salamu ya kawaida 2.
Kiukwel iliniuma sana yani mm mwny demu cjawai kupigwa kiss coz anasm hajazoea then anafny k2 hiko kwa mtu mwngne mbele ya macho yng.
Mi nlichoamua ni kuvunja uhusiano naye ila bado cjamwambia.
Je waungwana huo naotaka kuchukua ni uamuzi sahihi? Nshaurini jamani coz nipo njia panda cjui ht nfanyeje.