Lonely heart
Member
- Oct 21, 2011
- 46
- 20
Habarini wapendwa, ndugu zng ninawakati mgumu sn, naumia sn moyoni ila yote namwachia MUNGU. Nina miaka 30 nimeolewa na nina mtoto 1, namshukuru MUNGU kwani toka tuoane MUNGU amekua akitupa rizk na mimi nilikua nafanya biashara na kwa mwezi napata faida laki 3-5 na mume wangu anapata mil. 5-4, km miaka 3 iliyopita nilipatwa na matatizo ya ujauzito kuharibika mara 3 mfululizo madaktari hawakujua chanzo ni nini wakanipa dawa na kunishauri nipunzike km mwaka 1 ndio nibebe mimba.
Ilibi nimweleze mama mkwe wangu akaniambia hk kwao ni lazma itokee hvy, kweli nilikaa mwaka mzima na mwaka uliofuata nikajaribu kubeba mimba lkn ikashindikna, mama mkwe,mawifi + mumewng wakawa wananinyanyasa sn kw sizai, niliumia sn lkn nilzidisha maombi kwa MUNGU na mwaka jana nilipata ujauzito, kumweleza mume wng hakubu chcht nikaenda hos.
Wakanipa bedrest na huu ni mwezi wa 4 mume wangu kaniambia waz kw hatatoa ht shiling ya hosp. Kila k2 nijihangaikie mwnyw,KWANIni ANISUSIE MIMBA NA NIFANYAJE mana imefika mahali natamani kurudi kwetu.
Ilibi nimweleze mama mkwe wangu akaniambia hk kwao ni lazma itokee hvy, kweli nilikaa mwaka mzima na mwaka uliofuata nikajaribu kubeba mimba lkn ikashindikna, mama mkwe,mawifi + mumewng wakawa wananinyanyasa sn kw sizai, niliumia sn lkn nilzidisha maombi kwa MUNGU na mwaka jana nilipata ujauzito, kumweleza mume wng hakubu chcht nikaenda hos.
Wakanipa bedrest na huu ni mwezi wa 4 mume wangu kaniambia waz kw hatatoa ht shiling ya hosp. Kila k2 nijihangaikie mwnyw,KWANIni ANISUSIE MIMBA NA NIFANYAJE mana imefika mahali natamani kurudi kwetu.