Niko kwenye wakati mgumu sana lkn NAMSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO!

Lonely heart

Member
Oct 21, 2011
46
20
Habarini wapendwa, ndugu zng ninawakati mgumu sn, naumia sn moyoni ila yote namwachia MUNGU. Nina miaka 30 nimeolewa na nina mtoto 1, namshukuru MUNGU kwani toka tuoane MUNGU amekua akitupa rizk na mimi nilikua nafanya biashara na kwa mwezi napata faida laki 3-5 na mume wangu anapata mil. 5-4, km miaka 3 iliyopita nilipatwa na matatizo ya ujauzito kuharibika mara 3 mfululizo madaktari hawakujua chanzo ni nini wakanipa dawa na kunishauri nipunzike km mwaka 1 ndio nibebe mimba.

Ilibi nimweleze mama mkwe wangu akaniambia hk kwao ni lazma itokee hvy, kweli nilikaa mwaka mzima na mwaka uliofuata nikajaribu kubeba mimba lkn ikashindikna, mama mkwe,mawifi + mumewng wakawa wananinyanyasa sn kw sizai, niliumia sn lkn nilzidisha maombi kwa MUNGU na mwaka jana nilipata ujauzito, kumweleza mume wng hakubu chcht nikaenda hos.

Wakanipa bedrest na huu ni mwezi wa 4 mume wangu kaniambia waz kw hatatoa ht shiling ya hosp. Kila k2 nijihangaikie mwnyw,KWANIni ANISUSIE MIMBA NA NIFANYAJE mana imefika mahali natamani kurudi kwetu.
 
mmmh pole sana nitarudi baadae mi kiukweli ushauri wa wanandoa mimi huwa naona mgumu ila muombe tu mungu
 
kwenu umefukuzwa?
kwa nini uishi kwa mateso wakati umepewa bedrest?
mwanaume mwenyewe hakujali usipojali afya yako na mwanao nani atakuhangaikia?
hebu rudi kwenu ukapate uangalizi.

mwisho pole sana kwa kuwa na mume wa aina hiyo, huyo mwanaume ni looser lisokua na huruma wala upendo
 
pole dada, embu rudi home upumzike kwa muda, maana hapo waweza fanyiwa visa na io ikatoka.
pia muweke huyo mumeo kwenye maombi.
 
Pole dada,kwenye maisha kunakua na mitihani ya kila aina hasa kwa wenye ndoa nadhani kwa sasa unahitaji mtu wa kukufariji na mtu wako wa karibu kwa sasa atakua mzazi wako sio mume tena,usijitie BP kwa kufikiri kwani unakiumbe tumboni na afya yake na yako ndio muhimu kwa sasa, najua kua inauma sana kwani huu ndio ulikua wakati muafaka kwa wewe kudeka kwa mumeo lakini usife moyo mwenyezi mungu yuko pamoja nawe..
 
Aisee pole sana kwa hayo yote. Je kulikuwa na ugomvi wowote hapo kabla? Maana si hali ya kawaida mume kukataa/kususia mimba bila sababu yeyote ya Msingi. Yumkini anaweza kuwa kasikia fununu labda hiyo mimba si yake nk ndiyo maana kageuka kuwa hivyo.

Nakushauri mkae kama familia kulizungumza hili na kulipatia ufumbuzi hususani ktk kipindi hiki ambacho umepewa bedrest which means hufanyi tena biashara na hauna kipato chochote zaidi ya kumtegemea mumeo.
Pia muombe Mungu kwa kadiri uptavyo nafasi, ili shetani mbaya asiivuruge ndoa yenu.

Pole na nakutakia mema, matatizo yako yaishe mapema.
 
Pole sana my dia ila kwa sasa mi nadhani ungezingatia zaidi hali yako na mtoto aliyetumboni maana kosa dogo laweza kukughalimu sana.

Kama kunamahali unaweza kwenda kwa usalama wako na mtoto ni bora ukaenda maana huyo mumeo na ndugu zake hawakutakii mema na inawezekana wameshangaa kwa nini umeshika mimba wakati wao walitarajia vinginevyo.

Nakuombea Mungu akulinde na mtoto wako na siku moja waje kukuomba msamaha kwa mabaya waliyokutendea.
 
Huu mtiririko unanilazimisha kufikiri na wewe una matatizo.
Kwa nini hutafuti masuluhisho ya haya?
Utakuwa unamwendekeza
Tizama sredi zako za zamani

Habarini wapendwa, ndugu zng ninawakati mgumu sn, naumia sn moyoni ila yote namwachia MUNGU. Nina miaka 30 nimeolewa na nina mtoto 1, namshukuru MUNGU kwani toka tuoane MUNGU amekua akitupa rizk na mimi nilikua nafanya biashara na kwa mwezi napata faida laki 3-5 na mume wangu anapata mil. 5-4, km miaka 3 iliyopita nilipatwa na matatizo ya ujauzito kuharibika mara 3 mfululizo madaktari hawakujua chanzo ni nini wakanipa dawa na kunishauri nipunzike km mwaka 1 ndio nibebe mimba ilibi nimweleze mama mkwe wangu akaniambia hk kwao ni lazma itokee hvy, kweli nilikaa mwaka mzima na mwaka uliofuata nikajaribu kubeba mimba lkn ikashindikna, mama mkwe,mawifi + mumewng wakawa wananinyanyasa sn kw sizai, niliumia sn lkn nilzidisha maombi kwa MUNGU na mwaka jana nilipata ujauzito, kumweleza mume wng hakubu chcht nikaenda hos. Wakanipa bedrest na huu ni mwezi wa 4 mume wangu kaniambia waz kw hatatoa ht shiling ya hosp. Kila k2 nijihangaikie mwnyw,KWANIni ANISUSIE MIMBA NA NIFANYAJE mana imefika mahali natamani kurudi kwetu.

Habarin,Wkt naolewa mume wang hy alikua anamiliki kitanda tu na alikua ni dreva nami nilikua sekretary wa kiwanda cha uchapishaji, kwakweli tumepitia mitihani mingi sn wkt mwngn tulikua tnalala njaa ila nilivmilia, mume wng alikua mfujaji mzuri sn wa hela, ktkn na tabia hy ilibid tukubaliane hela zt zikae kwny account yng, baada ya 5yrs tukawa tumehfadhi hela kias tukanunua lorry (tipa) baada ya 2yrs tukanunua kiwanja na kukijenga, ss tna malorry 3, nyumba 2 na maduka 2. Wkt hatuna k2 wifi zng walikua wapole na walikua wananisihi nimvumilie kaka yao kwny shida na kweli nimepata shida nyingi nyingi sn but nilivumilia, KWAKWEL NI MWAKA WA 3 TK WIFI ZNG (wameolewa wt) WAANZE UISA,WAKIJA WAKIKUTA NIMEVAA NGUO NZURI,KANGA,VIATU WANANIMBIA NIWAGAIE, wakikuta nguo kambani, vyombo vzuri wanabeba nikiwauliza wanasema ni mali ya kaka yao, wanamshawish kaka yao aachane na mm eti nataka kumrithi na kweli mume wng aliwasikiliza akaniambia niondoke niende kwetu kwani mali zt ni zk,


Kwakweli naumia sana,nahitaji ushauri wenu ili niweze kufarijika na kujirekebisha pale nilipo na makosa, NAOMBENI MNIPOKEE


Habarini wapendwa wana jf, jamani naombeni mnifundishe mbinu za aina yyt nitakazotumia kumshkisha adabu mana kazidi,

1. MMBEA yani akiskia kitu atakitangaza kila mtaa

2. ANAJISKIA na ANADHARAU sn huyu kaka ymg hakua na haka katabia lkn kapata vijisent kidogo anatudhau ndugu zk ile mbaya

3. kilichoniuma kuliko vyote ni nilipokosana na MUME WNG MAMBO YA KAWIDA tu, alipojua tu akaanza KUMCHOCHEA MUME WANGU ANIFUKZE, kitendo hiki kimenikera sana tena sana.

PLEASE! PLEASE! NAOMBENI MNIPE MBINU ZA KISASA KUMKOMESHA.

 
hapo ulipo una ujauzito tena umewekwa bed rest ukiongeza nahayo mastress kha!rudi kwenu haraka au mpaka mauti yakukutie hapo?
 
unajua ukifanya mchezo utakua muuaji,kwasababu kama uko bed rest means huitaji kufanya shughuli ya aina yeyote wala hutakiwi kupata stress kabisaa....sasa wewe unaendelea kukaa hapo ili ukiondoe hicho kiumbe??????rudi kwenu utafia hapo oooohoo!!!
 
Mimi leo sikuonei huruma ng'oooo........
Kila siku tunapoteza muda tu kutoa ushauri lakini mtu mwenyewe hata hueleweki. Subiri uumie zaidi ndo akili itajiseti!!
 
Ungemshirikisha kabla ya kubeba ujauzito,mtoto si wenu wote?? Muombe msamaha kama ndo kilichomkasirisha,mwambie imeshatokea unamuomba sasa akusaidie kwa hali na mali katika kumtunza huyo mtoto...Huko kwenu utarudi kimoja? wanawake hatu-give up kirahisi hivyo....ukiona huwezi ita washenga na watu wake wanaokupenda na kumheshimu yeye.
 
Nadhani hili jambo ni la kifamilia zaidi......................jitahidi pande mbili za familia zikutane.

ili nini, mwanaume kama hakutaki rudi kwenu. Kujipendekeza kwa familia yake ni kujidhalilisha na zaidi ni mara chache sana ndugu wa mwanaume kuside na wewe, hasa pale mwanaume anapokuwa na pesa.

Ndugu mleta mada, tafuta ndugu zako wakusaidie, kila mchuma janga hula na wa kwako.
 
Ungemshirikisha kabla ya kubeba ujauzito,mtoto si wenu wote?? Muombe msamaha kama ndo kilichomkasirisha,mwambie imeshatokea unamuomba sasa akusaidie kwa hali na mali katika kumtunza huyo mtoto...Huko kwenu utarudi kimoja? wanawake hatu-give up kirahisi hivyo....ukiona huwezi ita washenga na watu wake wanaokupenda na kumheshimu yeye.


dah bonge moja la quote,nilikuja elewa baadae sana nilipokua.mwanamke haikimbii ndoa yake kirahisi rahisi hivyo.umejaribu kila njia kweli na imeshindikana??
 
Back
Top Bottom