Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 98
- Thread starter
- #41
wameru ndo wana meno mekundu, lakini huyu mwirak ni balaa, meno meupeeeeeeeeee!!!!Hiki ndicho Mungu kawanyima warembo wa Arusha pamoja na uziri wote walio nao!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameru ndo wana meno mekundu, lakini huyu mwirak ni balaa, meno meupeeeeeeeeee!!!!Hiki ndicho Mungu kawanyima warembo wa Arusha pamoja na uziri wote walio nao!
aaaaa husninyo, kwani wachawi waathirika?We penda tu bwana. Hata wachawi wana haki ya kupendwa.mia
wasalaam MMU!
kama ni kuchanganyikiwa ndo nahisi nachanganyikiwa!!
Katika pitapita zangu na kujituma kwangu kumsaka mchumba ambae ni mzuri nilibahatisha kumpata mtoto wa makabila mmojawa maarufu sana ktk mkoa wetu wa Arusha.
Mtoto mwenyewe si haba, mtoto mweupeee!!
Mtoto wezereee!!
Mtoto unywele!!
Mtoto smile!!
Mtoto meno meupeee!!
Mtoto mguu!!
Dahhhh!!
na kiukweli nilikuwa nikipita nae kila mahali masela nilihisi kama kuna ka uhasama mfali, kina dada walininunia bila sababu kisa kuwaambia ukweli kuwa my hny yre(wayre nilipenda kumwita hivo) kauteka moyo wangu na naahidi kumpenda kwa dhati!!!
Looo! Kuna taarifa ambazo nimeanza kuzipa kutoka kwa marafiki zangu wa mtaani kwao kwamba ile familia ni issue, mama wao aliwahi kumuua mumewe na 7bu zingine kibao zikiwa ni pamoja na kutokuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume majirani zao!!
Sasa mi nitafanyeje? Kama hizi taarifa ni kweli nikijifanya naendelea nae nitaishia wapi?
Naombeni ushauri wenu wapenzi wenzangu wa jf hasa MMU.
ahsanteni.
Asante sana, nimekupata na nitajaribu kuufuatilia na kuufuata ushauri wako.ila kwa kukujibu swali lako la kutaka uthibitisho, si mtu mmoja au wawili, so kama binadamu mwenye kuogopa kifo lazima nishtuke.1. Hujaeleza huyo mama alimuuaje mumewe ili tutafakari hayo mazingira ya uchawi2. Na je, angekuwa amemaliza wanaume mtaa mzima(wakiwemo hao rafikizo), ndio ungekuwa na amani naye?3. Pengine ulowauliza wana visa na familia husika,si wapo mtaa mmoja.?4. Pengine huyo jamaa yako alikataliwa na huyo binti? Ushauri wangu1. Jifunze kufanya maamuzi kwa kutumia ushahidi ie data kamili2. Usiwe na papara,fuatilia na kuuliza kwa watu wengine zaidi ya huyo rafikiyo.3. Kunywa soda hata maduka ya jirani na kwao huku ukidodosa taarifa za binti na familia yake4. Tafuta hata mtu mzima wa jirani na kwao(ambaye si rafiki na familia yao,ila pia si adui),tumia busara na akili kuhoji taarifa unazohitaji kujua
Looo! Kuna taarifa ambazo nimeanza kuzipa kutoka kwa marafiki zangu wa mtaani kwao kwamba ile familia ni issue, mama wao aliwahi kumuua mumewe na 7bu zingine kibao zikiwa ni pamoja na kutokuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume majirani zao!!
Sasa mi nitafanyeje? Kama hizi taarifa ni kweli nikijifanya naendelea nae nitaishia wapi?
na kutokuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanaume majirani zao
1. Hujaeleza huyo mama alimuuaje mumewe ili tutafakari hayo mazingira ya uchawi
2. Na je, angekuwa amemaliza wanaume mtaa mzima(wakiwemo hao rafikizo), ndio ungekuwa na amani naye?
3. Pengine ulowauliza wana visa na familia husika,si wapo mtaa mmoja.?
4. Pengine huyo jamaa yako alikataliwa na huyo binti?
Ushauri wangu
1. Jifunze kufanya maamuzi kwa kutumia ushahidi ie data kamili
2. Usiwe na papara,fuatilia na kuuliza kwa watu wengine zaidi ya huyo rafikiyo.
3. Kunywa soda hata maduka ya jirani na kwao huku ukidodosa taarifa za binti na familia yake
4. Tafuta hata mtu mzima wa jirani na kwao(ambaye si rafiki na familia yao,ila pia si adui),tumia busara na akili kuhoji taarifa unazohitaji kujua
Asante sana, nimekupata na nitajaribu kuufuatilia na kuufuata ushauri wako.ila kwa kukujibu swali lako la kutaka uthibitisho, si mtu mmoja au wawili, so kama binadamu mwenye kuogopa kifo lazima nishtuke.
nakupata vizuri sana, lakini unauamini uchawi? Unaamini kama kuna kitu kinaitwa uchawi na huwa watu wanakufa?Nina ushahidi wa mume aliyefariki kwa ugonjwa wa ukimwi hivyo alikuwa anatumia dose za waathirika(aliyekuwa anajua kuwa kaathirika ni mama,watoto wake na mama mmoja wa jirani).Huyu mume na mkewe walikuwa na mali nyingi sana,tena walianza kwa maisha ya tabu na mkewe, baadae Mungu akawajalia mali.Kumbuka hakuwa na dalili yoyote inayoonyesha ya kuwa ni mwathirika.Ndugu wa mume walikuwa hawaishi kumiminika kwa ndugu yao(si tatizo) ila walikuwa wanamnyanyasa sana huyo mkewe kwa maneno ya hapa na pale yanayohusiana na mali (RED LIGHT)Wapo waliotaka mitaji,wakipewa pesa wanakula na kurudi kuomba tena(bado walipewa),wapo waliosomeshewa watoto wao n.kInasemekana huyu baba alibadili dose,sijui ni kosa gani la kiutaalam lilifanyika, baba akafa ghafla!Yaliyotokea;1. Ndugu walidai huyo mama kamuua ndugu yao(yaani mumewe),ie kamloga ili arithi mali.2. Eneo lote waliloishi uvumi huu ulienezwa hivyo majira wakaitenga familia nzima.3. Rafiki pekee wa jirani aliyebaki nao alikuwa yule mama anayejua historia nzima ya afya ya yule babaJifunze jambo hapa.
Hizi hoja zafanana na zile za Asha Dii.............sijui kabughudhiwa na nini hadi katukimbia humu jamvini....................I truly miss her......................na Pauline.......................................labda wametuwekea kamgomo baridi.................lol
nakupata vizuri sana, lakini unauamini uchawi? Unaamini kama kuna kitu kinaitwa uchawi na huwa watu wanakufa?
uuuuwi! Kumbe uchawi upo? Sa yre akiwa nao kweli (labda karithishwa na mamaake, ataniacha?Hiyo ilitakiwa iwe thread ya kujitegemea.ILA,vitabu vya dini vimeainisha kuwa uchawi upo japokuwa hauzidi nguvu za Mungu wa Kweli,aliyetuumba.ie Ukiwa na imani thabiti hasa kwa YESU,hulogeki!Hili la kufa huwa linanipa kizunguzungu kidogo.niwahi kuona kwenye ile Spora Show ya star tv,mchungaji(ambaye alikuwa mchawi mkuu) akitoa maelezo hivi;Wachawi wanakuuwa kichawi kwa kuchukua nyayo(unyayo wa mahali ulipokanyaga)Alisema nyayo ni kivuli chako hivyo ule mchanga unachanganywa na vitu vingine vya kichawi,sijui wanakoroga vipi,halafu muhusika popote alipo anakufa,kwa sababu yoyote ile ya ghafla.ILA hapo anakuwa AMEKUFA KICHAWI TU,japo ndugu wataona kafa kweli na watazika lakini wanazika vitu vingine,mawe,migomba n.kWao wachawi wanamchukua muhusika kichawi,na wataishi naye na kumfanyia watakavyoIkifika muda wake wa KUFA KWELI(Kifo tulichoandikiwa binadamu wote),atakufa,na watamzika.Kifo hiki hata wao hawawezi kukikwepa. PIA alisema wakati akiwa mchawi hakuna walichokuwa wanakiogopa kama JINA LA YESU,watu waliokuwa wanataka kuwaaloga ambao walikuwa na imani thabiti ilikuwa ni changamoto kwao na mara nyingi walishindwa.
uuuuwi! Kumbe uchawi upo? Sa yre akiwa nao kweli (labda karithishwa na mamaake, ataniacha?
The boss kwa nini aamini mambo ya kuambiwa? atajuaje kama wamemzushia ili amteme then amchukue yeye?ushauri sahihi ni muache now..
hisia hujenga jambo ambalo hata kama halipo,we utaliona lipo
uliamini kwao ni wachawi,basi lazima mtakuja kugombana..
chochote kitakachokutokea mbele,hisia zako zitakuwa wana kuroga hata kama sio kweli
so bora umuache now
Dah! Suali gumu. So we unataka niendelee nae kisa yeye asije akakosa mpenz au?Kwa jinsi ulivyojaa hofu..............tayari una IMANI kuwa kweli ni wachawi!Hata ukikuta si kweli baada ya kufanya uchunguzi,maisha yako yatakuwa ya mashaka sana.Homa kidogo,utahisi kakuloga,mafua kidogo,utahisi uelogwa kwani IMANI YAKO ni haba.Yaani umeshakaa kulogwa logwa tuu,nahisi si mkristo thabiti wewe.....Nakushauri tafuta njia muafaka ya kusitisha mahusiani hayo na si visa."Mchawi mpe mtoto akulelee"!Naomba kukuuliza,Ungezaliwa na mama/baba wachawi,ila wewe usiwe mchawi...........ungeoa mke mchawi au ungetafuta aliye thabiti kiimani na kuoa?
natafuta visa tu, siwezi kuachana nae bila sababu.
thanks alot
Hivi wewe unajua uchawi??? angekuroga hata hapa usingekuja kuuliza swali kama hili, na kama kweli mchawi basi sasa hivi keshapata alarm fulani unamteta humu, na ole wako ukutane nae leo utakoma......hahahahaha hakuna kitu kama hichoDah! Suali gumu. So we unataka niendelee nae kisa yeye asije akakosa mpenz au?