Nikki wa pili aichambua katiba inayopendekezwa

Maramla

JF-Expert Member
Jan 8, 2014
581
642
"Harakati za kudai haki za wasanii zilianza muda tuu...tangu kipindi cha ukusanyaji wa maoni na tume ya jaji warioba lakini kwa hali isiyo ya kawaida Rasimu iliyotolewa na tume hiyo haikuzungumza chochote kuhusu masuala ya wasanii....hapo tulianza ukurasa wa pili wa kutafuta haki zetu na tuliamua kupeleka hoja zetu kwa mwenyekiti wa bunge maalum la Katiba na kwa busara za bunge hilo sasa wasanii tutajidai kwani Katiba Inayopendekezwa imetaja waziwazi haki za wasanii, huu ni mwanzo mzuri na wasanii tunashukuru sana kwa hilo" Sehemu ya maneno aliyoyasema Msanii huyo wakati wa Tamasha la UZALENGO lililofanyika zanzibar...
 
Haki gani ambazo huna right ya kuzidai mahakamani zisipotekelezwa? Au alifurahia kipengele cha wasanii kupewa ulinzi????
 
haki gani ambazo huna right ya kuzidai mahakamani zisipotekelezwa? Au alifurahia kipengele cha wasanii kupewa ulinzi????

acheni wivu usio na msingi, kila kitu nyie kuponda tuuuu, kaisoma na kaelewa huyo mwenzenu, nyie mtabaki hivyo kutoelewa kwasabu hamtaki kuisoma wala kushauriwa, hii ni haki yako ya kikatiba wajameni. Khaaaaa!!
 
acheni wivu usio na msingi, kila kitu nyie kuponda tuuuu, kaisoma na kaelewa huyo mwenzenu, nyie mtabaki hivyo kutoelewa kwasabu hamtaki kuisoma wala kushauriwa, hii ni haki yako ya kikatiba wajameni. Khaaaaa!!

Hapo ndio uwezo wako wa kufikiri ulikoishia???
 
"Harakati za kudai haki za wasanii zilianza muda tuu...tangu kipindi cha ukusanyaji wa maoni na tume ya jaji warioba lakini kwa hali isiyo ya kawaida Rasimu iliyotolewa na tume hiyo haikuzungumza chochote kuhusu masuala ya wasanii....hapo tulianza ukurasa wa pili wa kutafuta haki zetu na tuliamua kupeleka hoja zetu kwa mwenyekiti wa bunge maalum la Katiba na kwa busara za bunge hilo sasa wasanii tutajidai kwani Katiba Inayopendekezwa imetaja waziwazi haki za wasanii, huu ni mwanzo mzuri na wasanii tunashukuru sana kwa hilo" Sehemu ya maneno aliyoyasema Msanii huyo wakati wa Tamasha la UZALENGO lililofanyika zanzibar...

Pesa mbaya kweli hawa machalii washaisahau SINONI DARAJA MBILI
 
Tatzo kubwa la nick ni kujiona anauwezo mkubwa wa kufikiri na anashindwa kutofautisha msomi na mwanazuoni, yeye anadhani uwezo wa kufikir unajengwa kwa kuwa na elimu kubwa tu

Nikki kuna tweets zake alikua nabishaa na jamaa mmoja akawa anasema haamini tafiti kwani mtu anaweza kujifungia na kupika data. ni kweli ila Tangu agraduate anaona kama hakuna graduate mwingine TZ zaidi yake. Ninacheka sana kwani kukifuatili a anachokiongea utacheka sana.

Haki gani ambazo huna right ya kuzidai mahakamani zisipotekelezwa? Au alifurahia kipengele cha wasanii kupewa ulinzi????

Kabla ya kudai haki lazima atimize wajibu...... Lipeni Income Tax
 
acheni wivu usio na msingi, kila kitu nyie kuponda tuuuu, kaisoma na kaelewa huyo mwenzenu, nyie mtabaki hivyo kutoelewa kwasabu hamtaki kuisoma wala kushauriwa, hii ni haki yako ya kikatiba wajameni. Khaaaaa!!

kama hukijui unachokitetea ni bora ujaribu kutafiti au kupata tarifa za kutosha ndo usapoti ushudu.rasimu ya kwanza ya jaji waryoba haikufafanua kwa undani zaidi swala hilo coz lilikuwa linakuja kuwekewa nyama na katiba za nchi washirika,pili halikuwa swala la muungano kwani ile katiba iliundwa kwa kufuata muundo wa maswala ya muungano pekee.
 
Nike huyu mvuta bang wa masters ya kibangbang n yeye ni mchambuzi wa katiba
 
Tatzo kubwa la nick ni kujiona anauwezo mkubwa wa kufikiri na anashindwa kutofautisha msomi na mwanazuoni, yeye anadhani uwezo wa kufikir unajengwa kwa kuwa na elimu kubwa tu

We utashia huku huku JF kukosoa...wenzio waliona fursa wameichangamkia wamwekuwepo ndani ya Katiba Inayopendekezwa....wewe impact yako ipo wapi ndugu au kupiga domo tu kuwakosoa waliotajwa ndani ya Katiba Inayopendekezwa.....unachoamini wewe usilazimishe kuwaaminisha wenzio uctutoe kwenye ukweli...kwani nani hajui Rasimu ya Warioba Haikuwazungumzia wasanii....au we hukuisoma ndo maana unakuwa ROPOROPO
 
Nikki kuna tweets zake alikua nabishaa na jamaa mmoja akawa anasema haamini tafiti kwani mtu anaweza kujifungia na kupika data. ni kweli ila Tangu agraduate anaona kama hakuna graduate mwingine TZ zaidi yake. Ninacheka sana kwani kukifuatili a anachokiongea utacheka sana.


Nikweli, Nikki anafikiri yeye peke yake ndio kapiga shule kuliko watu woooote tz.

But ataelewa tu,ngoja ije mtaani huku tuone kama itapita.
 
Back
Top Bottom