Nikiwa Tz nitumie mtandao gani wa mawasiliano?

We ndevu huku wenzio tunatumia mitandao yote.
Mtu mmoja mitandao minne. Ila
Mi nakushauri utumie zantel, hawana longo longo.
Utuletee zawadi eeh.


Halafu ushajua usome gazeti gani eeh?
Maeneo ya kujidai je?
Vyakula ule nini?
Viatu na nguo uvae vipi?
Ucheke na nani?
Ufikie wapi?
Nasubiri sredi zake hizo.
Nipo tayari kutoa ushauri. Jisikie kama ushafika nyumbani.
Hahahaa! Marketing officer wa Usninyo Biggie consults!.......wewe ni kama mm. Karibu partner
 
Njoo na vyote sababu hata mimi hapa nina vyote natumia mobile nikiwa njiani lakini nikiwa home nina-prefer kutumia laptop (pia ukiweza njoo na usb internet modem am sure UK ya Vodafone unaweza kupata kwa 10 pounds, lakini hata huku sio bei sana ni kwenye elfu 55)

Kuhusu bei ya simu ni kama huko ulipo, ukipiga simu mtandao unaofanana voda to voda; au tigo to tigo n.k. ni bei rahisi kuliko ukipiga simu kwenye mtandao mwingine, hence faida ya kuwa na mitandao mingi

Imenibidi niulize mkuu ni lazima ya vodafone tu au hata ya usb 3 inaweza kufanya kazi??
 
huyu mleta sredi nae kwa majivuno utafikiri yupo kanada kweli kumbe yupo kishimundu kama sio maneromango

acha zako bwana , viswali vyako havina kichwa wala miguu
Kwani member unakwazika na nini?
mimi naona unakasumba kua mtu akiongea zaidi kizungu ndio mwelewa zaidi!!!!
Huu nao naona ni ukoloni kichwani mwako.
Ukija ofisini kwangu mara nyingi hakuna swahili. So am proud to speak much swahili.
Hasa na ndugu zangu.
Maswali gani unaona kwenye bonet yako ndio maswali ya mtu akiwa huku ulaya?
Kumbe humu JF wanu watu ka'wewe!!!!!
Kama nakukwaza am so sorry.
Mod an'samehe jamani.
 
mmmh!
Isije ikawa nipo nae huku mpwapwa.
Lol!
Eehhh!
Hata na wewe hujaamini kua nipo Canada?
Hizi mbona mnan'iweka njia panda kuona GT inapunguza uwezo wake siku hizi!
Anyway! Najua mambo yanasumbua sumbua so poor imajinesheni haz wakid.
 
haya, tutajiogarnize jf tuje tukupokee.
Tutakuja na matarumbeta. Sawa eeh?
Nimemteua VOR ataongoza msafari.
Halafu zawadi ni zawadi.
Wabongo ndio hawana noma, urudi na bodigadi la kizungu.
Siku hizi huku kila mtu ana bodyguard wake.
Kwani Husninyo! Hivi naww ni FBI?
Me nipo simple at all. Sifikiri hao bodyguard ni muhimu zaidi...halafu nawapenda watu pia.
Matarumbeta !!
VOR amekubali aongoze msafara?
Me napenda mkianzisha vile vikao vya members nije mwenyewe!
Msisumbuke kuja n'pokea airport ....ila nmefurahi kwa moyo wenu wa upendo Mungu awazidishieni barka.
Nkiwa hapo Tz ntawajulisha ntapokua napendelea kuburudika kwa kujuana na kusalimia jamaa!
 
Yaani kufika Canada imekuwa ishu, je ungakuwa na PR ingekueje?
Pole Abdulhalim!
Labda umekwazika kwa hawa members waliochangia hii thread...me huku canada si majivuno sorry! Nlimjulisha member 1 alipenda kufaham nlipo ni hilo tu!
Pia huenda mara kwa mara Scotland. Kule Boston US kuna wabongo nlikua nawafuata pia. Nliwasaidia zaidi ndug(wabongo) ...haya ni mambo ya kawaida. Nimeipenda sana JF kwa influence zake N.k.
 
Pole Abdulhalim!
Labda umekwazika kwa hawa members waliochangia hii thread...me huku canada si majivuno sorry! Nlimjulisha member 1 alipenda kufaham nlipo ni hilo tu!
Pia huenda mara kwa mara Scotland. Kule Boston US kuna wabongo nlikua nawafuata pia. Nliwasaidia zaidi ndug zangu...haya ni mambo ya kawaida. Nimeipenda sana JF kwa influence zake N.k.

Sasa pole ya nini? mie siezi kukwazika na porojo kama hizo..sanasana unazipa tu mbavu zangu mazoezi.
 
Imenibidi niulize mkuu ni lazima ya vodafone tu au hata ya usb 3 inaweza kufanya kazi??
Hapana mkuu nyingi zitafanya na kama zipo locked unaweza ukaziflash.., ila kwa experience yangu Vodafone modem ya UK ndio hiyo hiyo kila kitu inayotumika hapa kwenye Vodacom kwahiyo huitaji kufanya kitu unabadilisha SIM CARD unaanza kazi, sababu hata simu nyingi huku za vodacom za promotion ni za vodafone
 
eti! Kuna rafiki yangu anambia nikifika n'tumie mtandao wa sasatel?
Nisaidieni jamani!!!!!
 
eti ya nini sasa?
Mbona mitandao mingine tuliyokushauri haujadoubt
Hus imani yako na huyu Ndevu Mbili ni ndogo sana ? :)
Lakini una point in so far as kwanini asingemuuliza huyo rafiki yake kwanini sasatel ndio bora kuliko nyingine?, unless hamuamini huyo rafiki yake.
 
Wana JF mnao mshauri Ndevu Mbili mshaurini kwa makini na ufasaha wa hoja msije mkamchanganya. Kwa mtazamo wangu kama kuna mtu wa Canada au US ambaye amekuja huku karibuni anaweza kumpa picha nzuri zaidi ya huku kuhusu vitu gani vya kubeba kumsaidia. Sisi tuliopo huku tunakuwa na mtazamo tofauti kidogo. Mfano, unapomshauri mtu abebe desktop na inverter kutoka Canada, sikubaliani na hilo.

Asanteni
 
VOR nimefuatilia michango yako katika hili jambo naona ntakuwa sijakosea kukuita wewe Muungwana wa kweli! Keep it up mkubwa
 
eti ya nini sasa?
Mbona mitandao mingine tuliyokushauri haujadoubt
Mhhh!
Siwezi ku-doubt humu JF kitu chochote!
Humu naamini wamejaa GT.
Huyu jamaa yangu nlimueleza nkija Tz ntatumia mitandao ambayo nlishauriwa humu JF.
Yeye kwa mtazamo wake akan'tajia huo!
Msije niacha pabaya jamani am serious for this issue!.
 
Back
Top Bottom