Kwani raisi si binadamu kama watu wengine? Anatumia fedha zake mwenyewe,rais analipa fadhira si unajua aliwatumia sana kwenye campaign zake!!!! Acha wivu
Kuna thread nilisoma eti Vengu alishafariki inakuwaje hapa wadau?
Muiizaji wa kikundi cha The comedy aitwae Joseph aka Vengu agharamiwa matibabu na mh Rais hayo yamesemwa na muongozaji wa kikundi hicho leo TBC 1.
Kwahiyo akiwa rahisi ndio asisaidie watu..kama ni maswaiba we unawashwa nini..au we ndio ulivumisha vengu kafa..roho mbaya tu kama george bush
huyu vengu hana bima ya afya?mbona hiki kikundi ni waajiriwa wa tbc?
fadhira = fadhila
fadhira = fadhila