Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wpendwa wenzangu kwanza nawapa pole kwa yaliowakuta wikiend na kuchoshana kwa vijiharusi visivyoisha nk...
Hakika najaribu kufikiria yanayotokea kwenye nchi hizo hapo juu jana nikiwa usingizin nimeota jk akikimbia na familia kuelekea comoro huku umati wa watu wakimwagika mnazimmoja na mji mzima kutaka aondoke na hili ni baada ya kuilipa dowans kama alivyopanga..nasema hivi kwa alie karibu nae namjulisha tu hali n ngumu uko mbele watanzania waganda sasa wameamka wamechoshwa kushtuliwa na wakenya
Hakika najaribu kufikiria yanayotokea kwenye nchi hizo hapo juu jana nikiwa usingizin nimeota jk akikimbia na familia kuelekea comoro huku umati wa watu wakimwagika mnazimmoja na mji mzima kutaka aondoke na hili ni baada ya kuilipa dowans kama alivyopanga..nasema hivi kwa alie karibu nae namjulisha tu hali n ngumu uko mbele watanzania waganda sasa wameamka wamechoshwa kushtuliwa na wakenya