season 3 bado haijatoka mkuu...ya mwisho ndo hiyo s02e23..usidanganyike na dvd za kichina wanazoweka apisode 10 afu wanaita season moja wakati season za nikita zote zina episode 23 kila moja na mwisho ni season 2!! season 3 naskia hadi mwezi wa 9 sijui...sina hakika!!mm ninazo hadi season 3,sijui nitakupaje mdau.
zilizopita ulipataje?mkuu sijui nini nashukuru imeanza kudownload asante sana vipi hivi haiwezi kutumia idm naona kama iko slow sana na idm yangu haikuweza kunasa wakati naanza kudownload.
Mkuu sijui nini nashukuru imeanza kudownload asante sana vipi hivi haiwezi kutumia IDM naona kama iko slow sana na IDM yangu haikuweza kunasa wakati naanza kudownload.
uzur ni kwamba kwa njia hiyo unaweza kupata vitu vingi sana bure online..na tatzo lake ndo hilo uwe mvumiliv..mi huwa naitumia kudownload vtu vkubwakubwa kama ma game hiv nachukua cku 3 mpaka wiki kulingana na ukubwa bt ikianga atlist nakuwa na uhakika kuwa itamaliza..
umeona eh?? nilidownload smallville season zote 10 na miezi mitano (70+gb). patience ni lazima ukitaka vitu vizuri
sasa mkuu hata ukizidownload zote kwa siku moja utwaeza kuziangalia zote siku moja ukamaliza?? ishu inabaki palepale..unadownload kidgokidogo huku unaziangalia taratibu mpaka kama alivyosema..hamaanishi alikaa miezi yote mitano kusubiri hadi ziishe ndo uanze kuangalia..mfano mimi saiz nadownload series ya vampire diearies (ndo nimeanza kuzifuatilia juzjuz) na sasa wakati naangalia epsode 1 na 2 huku naendelea kudownload epsode 2 n 4, zikiisha hizo naruhusu 5 na 6 mpaka namaliza...uzuri ni kwamba kwa muvi za siries kama hizi (hata vitu vingine vyenye files nyingi)unaweza ukaset iwe inadownload epsode moja moja mpka unamaliza huku unaendelea kuchek nyingine...Duuu!!!! miezi mi tano unasubiliaga tu!! kweli inahitaji moyo
sasa mkuu hata ukizidownload zote kwa siku moja utwaeza kuziangalia zote siku moja ukamaliza?? ishu inabaki palepale..unadownload kidgokidogo huku unaziangalia taratibu mpaka kama alivyosema..hamaanishi alikaa miezi yote mitano kusubiri hadi ziishe ndo uanze kuangalia..mfano mimi saiz nadownload series ya vampire diearies (ndo nimeanza kuzifuatilia juzjuz) na sasa wakati naangalia epsode 1 na 2 huku naendelea kudownload epsode 2 n 4, zikiisha hizo naruhusu 5 na 6 mpaka namaliza...uzuri ni kwamba kwa muvi za siries kama hizi (hata vitu vingine vyenye files nyingi)unaweza ukaset iwe inadownload epsode moja moja mpka unamaliza huku unaendelea kuchek nyingine...
season 3 bado haijatoka mkuu...ya mwisho ndo hiyo s02e23..usidanganyike na dvd za kichina wanazoweka apisode 10 afu wanaita season moja wakati season za nikita zote zina episode 23 kila moja na mwisho ni season 2!! season 3 naskia hadi mwezi wa 9 sijui...sina hakika!!
sasa mkuu hata ukizidownload zote kwa siku moja utwaeza kuziangalia zote siku moja ukamaliza?? ishu inabaki palepale..unadownload kidgokidogo huku unaziangalia taratibu mpaka kama alivyosema..hamaanishi alikaa miezi yote mitano kusubiri hadi ziishe ndo uanze kuangalia..mfano mimi saiz nadownload series ya vampire diearies (ndo nimeanza kuzifuatilia juzjuz) na sasa wakati naangalia epsode 1 na 2 huku naendelea kudownload epsode 2 n 4, zikiisha hizo naruhusu 5 na 6 mpaka namaliza...uzuri ni kwamba kwa muvi za siries kama hizi (hata vitu vingine vyenye files nyingi)unaweza ukaset iwe inadownload epsode moja moja mpka unamaliza huku unaendelea kuchek nyingine...
Mkuu sidhani kama watatoa season three maana ilipoishia nafukiri mission accomplished. Otherwise waje na idea nyingine