Nikisema kuna wababa wanapenda watoto wao...this is what I mean

Kuna kitu nime note...ntaendelea kufanyia utafiti;

Rafiki yangu pia ana watoto wawili wa kike...mkubwa yuko close na baba; mdogo close na mama;

Isije kuwa ndivyo inavyokuwa...nikimpata mtu wa tatu nta confirm hii theory. Lol.


sisi watoto wetu wamejikuta au siju tumejikuta tumegawana yule mkubwa yupo karibu sana na baba yake,yu can imagine hata chupi ikimbana alikuwa anamwambi baba chupi imenibana,mdogo yupo sana kiziwanda na mama pembeni,ila still wen it cums to ishu kama mnataka kwenda sehemu flani na baba au na mama wanakimbilia na baba!
yani binti yangu mkubwa na baba yake mpk huwa tunamwita dadababa!
 
Mie nimeangalia.
Ni baba anapiga gitaa na binti yake wa miaka nadhani mitano anaimba huku akisaidiwa chorus na baba yake, ni wimbo mzuri wa miondoko ya POP kama sikosei.. (Uzee huu bana... hata sijui aina ya miondoko ya kisasa, sie tulizoea salsa na charanga)
uzee upi mkuu bado unatotoa

Wazee wamekauka hadi kiwanda cha mbegu
 
Kuna kitu nime note...ntaendelea kufanyia utafiti;

Rafiki yangu pia ana watoto wawili wa kike...mkubwa yuko close na baba; mdogo close na mama;

Isije kuwa ndivyo inavyokuwa...nikimpata mtu wa tatu nta confirm hii theory. Lol.
zipo nyingi kweli mi nnazo familia kama 3 hivi situation ni hivi,ukiongeza na zetu mbili tayar 5 ,inawezekana ndo inakuwa hivo ngoja tuendelee kutafiti zaid!ikiwezekana na sababu ya kutokea hivi
 
Nimeiona kupitia BB,,kila mzazi ana show lov kwa namna yake.kama mcheza mpira atacheza na wanae,kama tenis hali kadhalika na kama ni mwalimu pia watoto wanaweza kuenjoy na kujifunza mengi.sema sisi wazazi wa kibongo tumeweka social-distance kati yetu na watoto!
 
Nimependa hiyo 'social distance'

Tunabase kuwashirikisha kwenye serious issues kama masomo, na kuwa ground...hatuachi wajiachie ili tujue wanafikiri nini na wana vipaji gani...we think we know more than them...yes tunajua lakini si kila kitu.

Mimi mwanangu niligundua anapiga mpira akiwa na mwaka mmoja na nusu...since then nimekuwa nanunua mipira nyumbani; tatizo ananilazimisha tucheze; basi zoezi lake si mchezo.

Huyu ni wa pili lakini ana kipaji; anamzidi kaka yake when it comes to football; ukimpigia haukosi, na akipiga habahatishi.

Na uncle wake alishachezea timu ya Taifa naona hicho ni kipaji cha kuzaliwa.


Nimeiona kupitia BB,,kila mzazi ana show lov kwa namna yake.kama mcheza mpira atacheza na wanae,kama tenis hali kadhalika na kama ni mwalimu pia watoto wanaweza kuenjoy na kujifunza mengi.sema sisi wazazi wa kibongo tumeweka social-distance kati yetu na watoto!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom