Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,568
- 1,600
Konyagi 2 hulewi? Konyagi zipi hizo ngumu kumeza au viroba vya jero 2? Huwezi piga bapa 2 kubwa alafu akiri ibaki vilevile,basi kunywa kreti ya Prisna 'UKAWA' napo uone kama hulewi.
Acha hizo wewe,unakunywa vipombe vyako vya buku jero unasema hulewi........Tafuta hii kitu,kama hata kisoda utamaliza hujafa au nafuu yako kupata uchizi wa muda.Nimejaribu pombe za aina mbalimbali
Hivi wewe unakielewa unachokiongea lakini ........ Maana yake hii kitu niliyokuwekea kama hulewi,basi pia wewe hufi na hautokuja kufa. Hebu pitia hapa uone.Tatizo lenu ni vigumu kuamini bali mnabisha tu. Kila pombe silewi.
Ndugu sijabisha kiasi cha kilevi ktk hicho kinywaji. Najua kweli ni hatari na kinaweza kuua...lakini mm lengo langu sio kutambua aidha hichi kilevi kinaua au la. Mimi nina tatizo la kutolewa na nilitaka tu kujua kama ni kitu kizuri au kibaya kiafya. Vilevi mbona vipo vingi... lkn mm huwa silewagi. Hivyo tu.Hivi wewe unakielewa unachokiongea lakini ........ Maana yake hii kitu niliyokuwekea kama hulewi,basi pia wewe hufi na hautokuja kufa. Hebu pitia hapa uone.
http://www.couriermail.com.au/news/...r-deadly-spirits/story-e6freoof-1226244534802
Wewe unachelewa kulewa sio kwamba HAIWEZEKANI UKALEWA, na ndio maana nimejaribu kukubadilishia dozi ya pombe iliyozaidi ya zile ulizozizoea.Kunywa hiyo halafu njoo hapa useme bado hulewi ndio nitaamini kweli wewe si binadamu,ila ni kiumbe kinachotoka sayari nyingine.Ndugu sijabisha kiasi cha kilevi ktk hicho kinywaji. Najua kweli ni hatari na kinaweza kuua...lakini mm lengo langu sio kutambua aidha hichi kilevi kinaua au la. Mimi nina tatizo la kutolewa na nilitaka tu kujua kama ni kitu kizuri au kibaya kiafya. Vilevi mbona vipo vingi... lkn mm huwa silewagi. Hivyo tu.
Huwezi kufa konyagi nne..ila uwe na shibe aiseeWakati anakunywa inabidi tuendelee kuandaa nyimbo za mazishi...
Nilikuwa nakunywa kama kujifanyia utafiti. Lkn nilivyogundua silewi basi nakunywa malt tuuuHivi kama.unakunywa.then.hulewi ,unakunywa za nn.sasa??
Raha ya pombe n kulewa sio kuzima na.kuwa mzima
Rahaa ya pombe ni.hisia za tofait unazo.zipata ktk.brain,
Pombe rahaa
Pale inapo anza kukolea vema kichwan huwa inasolve matatizo ya mswali.meng ya mchana...pombe n soln
Pombe vilevile ina cost aisee,inafilisi
Sasa kama.hulewi.si.bora uache kunywa hata novida sh600
Safari siku haina tofauti na Kilimanjaro napiga hata kumi lakini nahisi kama nimekunywa fanta ya baridiitakua unakunywa viroba vidogo kabsa!
mkuu kunywa bia safari tatu tu hayo mengine yatakuua