kumbe tatizo unalijuaNi mnywaji mzuri tu wa pombe hasa hizi aina ya spirit, Konyagi, Wisky na wakati mwingine Castle ya baridi sana.
Lakini tatizo langu ni kwamba nachelewa mno kukojoa (kupizi) wakati wa mechi, tatizo ni nini?
Nijuzeni tafadhari.
Ni mnywaji mzuri tu wa pombe hasa hizi aina ya spirit, Konyagi, Wisky na wakati mwingine Castle ya baridi sana.
Lakini tatizo langu ni kwamba nachelewa mno kukojoa (kupizi) wakati wa mechi, tatizo ni nini?
Nijuzeni tafadhari.
Una haraka gani kama una ndowa yako halali! LAKINI,
kwanini unafanya tendo la ndowa ukiwa umekunywa pombe?
Unamtiya majaribuni mkewo kwa kumpulia pumzi yenye harufu mbaya ya pombe, huwo ni unyanyasaji na ubabe katika mahusiano ya kijisiya.
kwa vile umejitambuwa, panga ratiba yako vema ama achana kubwiya ulabu. Pole sana, umechaguwa fungu hilo?:thinking:
Kumbe nianze kunywa hizo pombe....lol
mie mbona natokwa sana na jasho nikitumia hivyo vinywaji??
lugha hiyo mkuu!
Ndowa, kubwiya, mkewo, huwo.etc