Kwa bahati mbaya hatukubahatika kuoana, alienda kusomea mbali akapitia huko huko akaolewa. Nami muda ulipofika nikaoa. Kila ninapomfikiria au kumwona nahisi mshtuko. Ana watoto 3, nina 2. Mke wangu hatuna tatizo. Hii roho niifunge vipi imsahau huyu mke wa mtu? Hii kitu...hii