Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
Alipokuwa anatangaza tume ya kuchunguza mauaji ya Marehemu D. Mwangosi, Nchimbi aliulizwa endapo yuko tayari kujiuzulu kama itabainika kwamba polisi ndio wanahusika na mauaji haya, akasema tena kwa kejeli 'nani ajiuzulu, nikijiuzulu mtapata wapi waziri kama mimi'.
My Take:
hizi ni dharau na kejeli kubwa sana kwa watanzania, sijui anaweza kutuambia lolote la maana alilofanya toka amewekwa kusimamia wizara hii, ninachokiona kwake ni kuratibu mauaji yanayoendeshwa na Polisi akishirikiana na Mwema. Nchimbi please swallow your pride and step down.
Mkuu Kapotolo, mimi ninamuunga mkono huyo Nchimbi wao kubakia kuwa waziri wa mambo ya ndani kwa kuwa wizara hii imebadiri matumizi yaka na kuwa wizara ya mambo ya mauaji. Songea anakotokea Nchimbi wanaijua vizuri sana wizara hii.