DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Nakukumbuka ulivyokuwa mkuu wa wilaya arusha,nlikuwa form one,uli2saidia wanafunzi ktk suala la usafiri.kweli umeacha legacy.NAKUONA UNAVYOJIBU MASWALI KWA UFASAHA unaijua vyema jiografia ya tanzania na matatizo ya watanzania.HATA UNAIBU WAZIRI WA TAMISEMI si saizi yako.UNAMPOTEZA WAZIRI WAKO MBAYA KABISA.MWANRI UNASTAHILI UWAZIRI MKUU.wakuu sijatumwa ila ni maoni yangu 2