Nikifungua JF

Status
Not open for further replies.

BelindaJacob

Platinum Member
Nov 24, 2008
6,474
4,022
Habari

Nikifungua www.jamiiforums.com nakutana na maneno haya
Warning: cannot use a scalar value as an aray in [path]/search.php on line 2508 baada ya ku-click kwenye Today's Posts, hayo maneno yanajirudia mara kumi na sita kwa kuenda chini. Halafu niki-scroll down ndo naiona page ya Jamii Forum.
Nikifungua page zingine kama gmail,yahoo n.k. haya maneno hayatokei.
Hili tatizo la hayo maneno kwenye page ya JF limeanza jana usiku na sielewi inaashiria nini.

Naomba mnielimishe.

Asanteni.
 
Habari

Nikifungua www.jamiiforums.com nakutana na maneno haya
Warning: cannot use a scalar value as an aray in [path]/search.php on line 2508 baada ya ku-click kwenye Today's Posts, hayo maneno yanajirudia mara kumi na sita kwa kuenda chini. Halafu niki-scroll down ndo naiona page ya Jamii Forum.
Nikifungua page zingine kama gmail,yahoo n.k. haya maneno hayatokei.
Hili tatizo la hayo maneno kwenye page ya JF limeanza jana usiku na sielewi inaashiria nini.

Naomba mnielimishe.

Asanteni.

BELINDA,
Naamini utapata maelezo soon hapa JF.
Pole lakini.
 
Dah Pole Bellies angalia labda kuna wahuni wanakuchezea mchezo maana watu siku hizi kiboko
 
Nami nakutana na tatizo hilohilo. nimezima na kuwasha tena bado lipo hadi sasa.
Administators naomba utujulishe nini cha kufanya zaidi ya kutujulisha source yake.
Thanks.
 
Habari

Nikifungua www.jamiiforums.com nakutana na maneno haya
Warning: cannot use a scalar value as an aray in [path]/search.php on line 2508 baada ya ku-click kwenye Today's Posts, hayo maneno yanajirudia mara kumi na sita kwa kuenda chini. Halafu niki-scroll down ndo naiona page ya Jamii Forum.
Nikifungua page zingine kama gmail,yahoo n.k. haya maneno hayatokei.
Hili tatizo la hayo maneno kwenye page ya JF limeanza jana usiku na sielewi inaashiria nini.

Naomba mnielimishe.

Asanteni.

Pole sana Dia, labda ndo maana hupati PM zangu.....
 
na mimi same case, na linatokea kwenye JF tu, au ndo tushapigwa vijidudu nini?
 
BELINDA,
Naamini utapata maelezo soon hapa JF.
Pole lakini.

Yes, naona yanashughulikiwa..Thanks Exaud

I don't see that on my side...

*** pole ***

Basi hautakuwa na hili tatizo..Asante Mkuu

Dah Pole Bellies angalia labda kuna wahuni wanakuchezea mchezo maana watu siku hizi kiboko

Asante Mkuu..Hata sielewi ni nini, tatizo linashughulikiwa lakini.

Pole sana Dia, labda ndo maana hupati PM zangu.....

Asante Masa..ha ha, PM napata sema nikiona yale maneno yananichanganya..sijui kirusi au nini!
 
Habari

Nikifungua www.jamiiforums.com nakutana na maneno haya
Warning: cannot use a scalar value as an aray in [path]/search.php on line 2508 baada ya ku-click kwenye Today's Posts, hayo maneno yanajirudia mara kumi na sita kwa kuenda chini. Halafu niki-scroll down ndo naiona page ya Jamii Forum.
Nikifungua page zingine kama gmail,yahoo n.k. haya maneno hayatokei.
Hili tatizo la hayo maneno kwenye page ya JF limeanza jana usiku na sielewi inaashiria nini.

Naomba mnielimishe.

Asanteni.
Pole shem...Hata mimi napata tatizo hilo
 
Habari

Nikifungua www.jamiiforums.com nakutana na maneno haya
Warning: cannot use a scalar value as an aray in [path]/search.php on line 2508 baada ya ku-click kwenye Today's Posts, hayo maneno yanajirudia mara kumi na sita kwa kuenda chini. Halafu niki-scroll down ndo naiona page ya Jamii Forum.
Nikifungua page zingine kama gmail,yahoo n.k. haya maneno hayatokei.
Hili tatizo la hayo maneno kwenye page ya JF limeanza jana usiku na sielewi inaashiria nini.

Naomba mnielimishe.

Asanteni.
Dah wakuu imekaaje hii?,kwangu mimi tatizo hili bado laendelea!!!
 
Kumbe mnafanya hivyo mkiwa hamja-log in sio?

We've to disable this option for unregistered users at this moment while fixing it.

Ahsante

Nimejaribu kwa ku-log in pia bila kulog-in, tatizo lipo kotekote.

Asante kwa kulishughulikia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom