Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,362
- 1,130
Mi napita mambo ya kufa kufa sitaki hapa
Jibu swali! Wewe ungeambiwa hivyo ungefanayeje? Au Wewe unataka uchomwe moto au vipi?
Mi napita mambo ya kufa kufa sitaki hapa
Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipoku anayeitia nafsi yake katika Upumbavu? Q;2;130.Huna lolote mwongo wewe, Abraham unamjulia wapi wewe!
Sema unaogopa videvu vyako vya sunna pamoja na chawa na m'ba wote vitateketea na moto na kwa imani yenu jinsia huonekana kidevuni.
Si mnao muda ndio maana na kutumia akili kwenu ni gharama. Abraham aliishi enzi hizo wakati hakuna mortuary kwa hiyo kuhifadhi maiti na kuisafirisha ikiwa na uchafu tumboni ilikuwa si rahisi, kwa hiyo walikamuana. Sasa nyinyi leo hii bado mpo bize kuminyana matumbo as if kuna treasure mtu alimeza, loh!
Ila nyinyi ni bora msichomwe manake mtakuwa mnachomeka 'dabal'. Mchomwe duniani haya mkifika langoni tena mchomwe, kweli itakuwa uonevu na mnavyojua kunung'unika si itaku
Unatania au unasema hovyo ?! Ulikotoka kubaya, sasa angalia uendako kuwe kusuri, usijekuwa na mwisho mbaya !Si mnao muda ndio maana na kutumia akili kwenu ni gharama. Abraham aliishi enzi hizo wakati hakuna mortuary kwa hiyo kuhifadhi maiti na kuisafirisha ikiwa na uchafu tumboni ilikuwa si rahisi, kwa hiyo walikamuana. Sasa nyinyi leo hii bado mpo bize kuminyana matumbo as if kuna treasure mtu alimeza, loh!
Ila nyinyi ni bora msichomwe manake mtakuwa mnachomeka 'dabal'. Mchomwe duniani haya mkifika langoni tena mchomwe, kweli itakuwa uonevu na mnavyojua kunung'unika si itaku
Na nani atajitenga na mila ya Ibrahim isipoku anayeitia nafsi yake katika Upumbavu? Q;2;130.
Na Mola wake Mlezi alipomwambia (Ibrahim): Silimu, nyenyekea ! Alinena: Nimesilimu na nimenyenyekea kwa Mola wa walimwengu wote. Q:2:131.
Kuweni Mayahudi au Wakristo ndo mtaongoka:Sema, sisi (Waislaam) tunashika mila ya Ibrahim mwongofu, wala hakuwa miongoni mwa washirikina. Q:2:135.
Ibrahim hakuwa Myahudi wala Mkristo, lakini alikuwa mwongofu, mtii, wala hakuwa katika washirikina. Q:3:67.
Wale tuliwapa Kitabu (Tourat, Zabur, na Injil) wakakisoma kama ipasavyo kukisoma (bila kufuta hili au kuongeza lile) hao huiamini hii (Qur'an). Na wanaokikanusha (kwa kubadili, kupunguza, kuongeza na kupotoa tafsiri) basi hao ni wenye hasara.Hapa ndio mimi nakupendea ndugu yangu Aliii, MISTARI. Wewe bwana ni bingwa wa mistari na wala hubwabwaji hovyo.
Sasa bwana Allii ibn Kombo, kuna mambo ningefurahi yangepata ufafanuzi toka kwako.
1. Huyu Ibrahimu alikuwa muislamu?
2. Dini yako inakataza ushirikina?
3. Ushirikina ni nini?
4. Ibrahim ndio huyu huyu Abraham wa kwenye Biblia au ni watu wawili tofauti?
Mi napita mambo ya kufa kufa sitaki hapa