Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Labda ni mzazi wako ama mke/mume au hata mtoto anakwambia NIKIFA NATAKA NICHOMWE MOTO!
Naam nimesikia hiyo wiki hii! Mzee mmoja huko Marangu naskia aliamua kuchomwa moto akifa. Na ndivyo ilivyokuwa!
Jana mji wa Moshi na viunga vyake ilikuwa ndiyo story kuu. Mzee huyo alichomwa moto sehemu wanakochomewa watu wenye asili ya kihindi.
Ingawa ni uamuzi wa mtu lakini inatisha! We ungeambia hivyo ungefanyaje?
Naam nimesikia hiyo wiki hii! Mzee mmoja huko Marangu naskia aliamua kuchomwa moto akifa. Na ndivyo ilivyokuwa!
Jana mji wa Moshi na viunga vyake ilikuwa ndiyo story kuu. Mzee huyo alichomwa moto sehemu wanakochomewa watu wenye asili ya kihindi.
Ingawa ni uamuzi wa mtu lakini inatisha! We ungeambia hivyo ungefanyaje?