Ngida1
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 586
- 206
Ndugu wana-forum,
Kama nikichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nitawatangazia Watanzania wote kuwa kila mtu anaweza kuomba uwaziri mkuu pamoja na uwaziri wa wizara yoyote anayoitaka, lakini anieleze tu kwanini anataka wadhifa huo. Hii inamaana nitataka nielezwe kwenye application kama nikimchagua kuwa Waziri Mkuu au Waziri wa hio wizara anayoitaka atafanya nini - yaani anayo malengo gani (visions) kwa wizara yake. Of course hayo malengo yake hayatokuwa the only criteria nitakayoitumia kumchagua. Pia nitataka kujua elimu yake na uzowefu wake wa kazi, lakini zaidi nikutaka kujua atafanya nini au ni mwenye mikakati gani kwa hio wizara ili Taifa lisonge mbele kwa haraka.
Kabla Nd. Lampart hujanirukia, please, fahamu pia kwamba ninafahamu vizuri sana kuwa waziri ni mtekelezaji tu na kuwa nini wizara ifanye ni kutokana na mipango, malengo na sera ya Taifa na Chama kinachotawala na sio waziri.
Naomba kutoa hoja.
Kama nikichaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nitawatangazia Watanzania wote kuwa kila mtu anaweza kuomba uwaziri mkuu pamoja na uwaziri wa wizara yoyote anayoitaka, lakini anieleze tu kwanini anataka wadhifa huo. Hii inamaana nitataka nielezwe kwenye application kama nikimchagua kuwa Waziri Mkuu au Waziri wa hio wizara anayoitaka atafanya nini - yaani anayo malengo gani (visions) kwa wizara yake. Of course hayo malengo yake hayatokuwa the only criteria nitakayoitumia kumchagua. Pia nitataka kujua elimu yake na uzowefu wake wa kazi, lakini zaidi nikutaka kujua atafanya nini au ni mwenye mikakati gani kwa hio wizara ili Taifa lisonge mbele kwa haraka.
Kabla Nd. Lampart hujanirukia, please, fahamu pia kwamba ninafahamu vizuri sana kuwa waziri ni mtekelezaji tu na kuwa nini wizara ifanye ni kutokana na mipango, malengo na sera ya Taifa na Chama kinachotawala na sio waziri.
Naomba kutoa hoja.