Nikasababisha kifo cha mke wangu kwa sababu ya penzi la kahaba………….!

na hyo ndo faida ya kutoka nje ya ndoa. wala sikuonei huruma hata kidogo. kwanza lait wanaume mngejua hzo nyumba ndogo zinavyowaloga yaani mngeziepuka. nilikuwa naskiliza ushuhuda hapa ATN mtu anaambiwa afiche nyama kwenye utupu wake kisha baada ya siku 7 za wk ndipo aipike kwenye mboga halafu mume ale hiyo mboga lol!.

huyu alikuwa anamfanyia buzi ambalo alikuwa anatembea nalo na alifanikiwa kumteka huyu baba kisha baba akasahu familia kabisa kiasi kwamba mkewe na mtoto wake wa mwisho walikufa pasi hata baba kujua wamekufa kwasababu gani. na yeye baba alaikwenda kuchukliwa nyumbani kwa huyu kahaba kuja kutoa idhini mkewe azikwe fikiria kweli hii ni akili?

namshukuru sana Mungu kamtokea huyu dada na kaenda kanisani kutubu lakini wababa kweli mnaboa sana.

Dah! huyo wewe kwenye avatar yako?
 
gfsonwin.. hili jina gumu kidogo, consider a friendly one. uko wapi yaani nchi gani? mbona nimelala nimeamka bado upo
 
nahisi alikwenda kwa waganga au ni mwanaume msexxx.. mwanamke analeta wanaume wengine kwenye nyumba yako. sijawahi kusikia ishu kama hii..
 
Huyu Bwana alikosa umakini wa kiroho na kimwili pia kwani hakupaswa kabisa kuwa na uhusiano nje ya ndoa yake. Alifanya dhambi kubwa sana kwa kumsaliti mkewe tena kwa kumleta kahaba wake ndani ya nyumba. Hata baada ya hapo awali kutambua kuwa alikuwa anafanya kosa aliendelea na katabia kake ka kuwa na mahusiano na mtu siye mkewe. Kitu kizuri ni kwamba amejifunza kitu kikubwa katika maisha yake na kutambua kuwa alichokifanya hakikuwa sahihi
 
duh,sad story! jaman mjifunze ninyi wanaume. wanawake cku hizi ni wabaya hakuna mfano. ni nini unachoking'ang'ania huko nje jamanî? subirini mje mgeuzwe ndondocha
 
fundisho kwa wanaume wote wenye vimada mwenzio akinyolewa nawe tia maji
. na sijuhi kwa nini hamkomi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom