na hyo ndo faida ya kutoka nje ya ndoa. wala sikuonei huruma hata kidogo. kwanza lait wanaume mngejua hzo nyumba ndogo zinavyowaloga yaani mngeziepuka. nilikuwa naskiliza ushuhuda hapa ATN mtu anaambiwa afiche nyama kwenye utupu wake kisha baada ya siku 7 za wk ndipo aipike kwenye mboga halafu mume ale hiyo mboga lol!.
huyu alikuwa anamfanyia buzi ambalo alikuwa anatembea nalo na alifanikiwa kumteka huyu baba kisha baba akasahu familia kabisa kiasi kwamba mkewe na mtoto wake wa mwisho walikufa pasi hata baba kujua wamekufa kwasababu gani. na yeye baba alaikwenda kuchukliwa nyumbani kwa huyu kahaba kuja kutoa idhini mkewe azikwe fikiria kweli hii ni akili?
namshukuru sana Mungu kamtokea huyu dada na kaenda kanisani kutubu lakini wababa kweli mnaboa sana.
Dah! huyo wewe kwenye avatar yako?