Ndiyo tu nimejiunga na forum hii. Naahidi kuwa mwanachama productive nitakayeshiriki katika mijadala kwa hoja. Ninaleta post yangu ya kwanza muda si mrefu ujao.
Mkuu hapo juu ulimaanisha neno uwe? BTW, karibu sana Mnyantuzu.Karibu sana, na pia huwe mvumilivu.
Mkuu nashukuru kwa taarifa...!Mkuu hapo juu ulimaanisha neno uwe? BTW, karibu sana Mnyantuzu.