karibu sana pita ndani.Hi guyz!pliz nikaribisheni.mi mgeni!
usijali cv yako iko palepale.halafu Katavi hebo nenda kule kwenye jamii photos uone mambo ya MbuziMzee.na kwa ulivyo sijui kama leo hujamganda mzee wa watu mpaka kieleweke.mhhh sitaki kuongea mengi mie ntaitwa mmbeya hebu kajioonee.Ha ha ha haaaah!! Ulitaka kunichafulia CV mbele ya mgeni......!!