nivea siku hizi nawachukia wanawake kama nini.....Mzee mtambuzi kazi unayo hayohayo umekuja nayo mpaka uzeeni ,ulivaa viatu kweli siku hiyo au uliingia mjini pekuuu?
sirghanam kumbe wewe unawajua eh...........Kwa sisi wa maeneo hayo, huyo binti alifuzu chuo kimoja bila mahafali. Ni kitu cha kawaida mwanamke kuolewa na kuwacha na aanakuwa kaingia chuo kimoja. Ulifanya kosa ungemchukua uende naye Dar angekuta huna hivyo vitu angepiga deal na mtu mwingine afungishwe ndoa ya mkeka. HIZO NDIO ZETU
kondoo hazeeki maini mzee mtambuzi nitakufumania mahali tu sikumoja na katoto kadogo na hapo kwenye red ,umejumuisha bila hata kumfagilia mama na dada zako mzee mtambuzi je na hao unawachukia?nivea siku hizi nawachukia wanawake kama nini.....
Wanawake hawafai kabisa, walimdanganya adam akala tunda, mie nitawaweza kweli?
Bora niwe peke yanguuu, bora niwe peke yanguu............................
:biggrin1: tungekua wavivu kusoma tusingekua tuna wasomi wengi nchi hii..we unafikiri kupata degree au masters utaipata bila kua unasoma mavitabu..tatizo ni kua kitu muhimu sana kwako utakisoma hata kama ni pg100
no hawezi kuwa mke hata kama ilifungwa kisheria but kama hakumuingilia basi si mkewe.ndio maana mume akifa pasi na kumuingilia mkewe hata siku moja basi mke hapaswi kukaa uzuka.
Michael Scofield labda sasa hivi ningekuwa nishazeeka na labda ningekuwa namiliki viunga vya minazi huko Ununio................LOLKabla sijamaliza kusoma stori nikajua ni mama Ngina ndio ulifumaniwa nae, nilitaka kukupa hongera kwa ndoa yenu kudumu mpaka leo, kumbe lol! ulimkimbia mke wa ujana wako.
Cantalisia, King'asti, Asnam, mbalu, TaiJike, cacico, Erotica na FirstLady1 marufuku kuchangia huu uzi,
Mkithubutuuu, mtanitambua......................LOL
Never give up nakumbuka alikuwa anaitwa Hayawi binti Mambaligwa Mshamu
Never give up - Unashuka kituo cha Kariakoo........LOLnamfahamu huyu mzee na kwa sasa ni kazi yangu kumletea mama ngina mwenzie, ..hv ni tbt kituo gani vile?
Asnam acha unoko weweeee.......................wewe kwa nini unikoseshe uhuru wa kuchangia la sivyo ungewatumia pm hao unaotaka wachangie huyoooooooo:dance::dance:,kumbe wewe ndo ulimkimbia bi harusi hujui ni aunt yangu na ulimuachia gundu mpaka leo hajaolewa naenda kumleta huku huku mjini mpaka mlangoni kwako
Mzee mtambuzi kazi unayo hayohayo umekuja nayo mpaka uzeeni ,ulivaa viatu kweli siku hiyo au uliingia mjini pekuuu?
Kabla sijamaliza kusoma stori nikajua ni mama Ngina ndio ulifumaniwa nae, nilitaka kukupa hongera kwa ndoa yenu kudumu mpaka leo, kumbe lol! ulimkimbia mke wa ujana wako.