Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
- Thread starter
- #61
NATA umeona eh! wengi hawajkui kama hizi simulizi zangu zina mafunzo ndani yake.Kwa kweli ni kiboko, thanks Mtambuzi keep it up,
Hii imenichekesha kweli!
But kuna ukweli mwingi sana katika hili kwa tabia za vijana wanaojipatia umaarufu kwa kuwa wajanja wajanja tu na wengi wao wamekatika na ukimwi kwa kujiona vistar uchwara na kulamaba vibinti bila mipaka...
Hii ya ndoa ya mkeka naona ilikuwa fundisho kwelikweli na ingekuwa mara nyingi linafanyika hivi nadhani lingepunguza kidogo udokoaji wa vibinti.
Mnaposoma mpembue pumba na mchele.
Mimi nilifanya makosa, ndio, mimi sio malaika...
Hivyo mkisoma hapa mnatakiwa mchukue mazuri na muache yale mabaya,
lakini tatizo lenu nyie mnaacha mazuri mnachukua mabaya........ sasa hiyo ni akili au matope?
pamoja daima......................LOL
Last edited by a moderator: