No siwezi kumrudia yule
Cantalisia, King'asti, Asnam, mbalu, TaiJike, cacico, Erotica na FirstLady1 marufuku kuchangia huu uzi,
Mkithubutuuu, mtanitambua......................LOL
wewe lazima utakua mwandishi wa habari au unaandikaga vitabu maana topic zako ndefu mno alafu kama huja copy n paste mahali inaonyesha ni jinsi gani una muda mwingi wa kukaa chini na kuandika gazeti lote hilo...lakini unajitahidi siwezagi kusoma posts zako coz ni ndefu sana bt am sure zina ujumbe mzuri
figganigga kumbe na wewe ulikuwa mkali aisee..........Hii imenikumbusha enzi namaliza o-level pale Ihungo Bukoba. Siku ya sherehe tukiliita bogy alikuja kupiga Bonge na vyomba vyake vya pamba musics sound.
Baada ya mziki kuna kademu nilikua nacheza nako kutoka rugie(rugambwa sec) ikabidi nikatoroshe.
tukala chochoro hadi kyaruyonga, tukashuka omumwani tukaibukia rwamishenye. deal ilikua ni kwenda guest ambayo ipo karibu na shule yao ili saa tisa usiku aingie room. tukapata chumba pale maeneo ya tanesco kibeta. tulilala kushituka saa nne asubuhi..P.T.O. mia
elly_black simaanishi unavyofikiri...........Hapa kwenye nyekundu,inamaanisha ukiendelea kugrow utarudi hali yako ya zamani.
Au niko nje na mtazamo wako kuhusu kuzaliwa upya?
lolest kumbe ni weye ulikujaa ukaozwa na shehe jumaa pale kwa mzee Tilikele? uliozeshwa shemejiye omary Tilikele? aitwaye Mwana asha eeh! sasa siku hizi mwanaasha kesha olewa alikauwa anaishi Tandale jirani na mzee Chuche yule mmwera. Alisomeaga kozi ya recods keeping na kwasasa anafanya kazi wizara ya mali asili kama mtu wa records. Labda nikupe namba yake ya simu umpigie lakin anaish Kinyerezi. pOle sana MtambuziMbimbinho mh, bora niuchune maana sijatafutwa na nadhani wameshanisahau.............
Isije ikawa kuna ndugu yake humu JF..................LOL
Mwanangu FirstLady1, waswahili wanasema ya kale hayanuki, na yaliyopita si ndwele tugange yajayo...........Mtambuzi naomba kujua kama hili tukio ni la kweli hahahah maana nimebakia mdomo wazi
Baba miaka ile ulikuwa hukamatiki ..naona vijana wa sasa wanafanya marudio tu..