Nikapigwa ndoa ya mkeka Ununio…!

ndoa ni ndoa tu mkuu,mradi ilikuwa solemnized,guy you are legally married to her!
No siwezi kumrudia yule mwanamke, nadhani atakuw amzee hivi sasa, hata hivyo I am Happly Married mama Ngina wange......
 
Kwa hiyo nikikuta kaolewa naweza kum sue mtu kwa kumuoa mke wangu halali wa ndoa ya mkeka eh, yaweza kuwa dili hiyo au?

Kisheria una haki aisee, ila kiuhalisia haijakaa njema (Hivi kum-abandon family ni kosa kisheria? if Yes, then wataku-sue wewe sasa) :dance:
 
Ha haaaa hii kali ,ulikuwa mkali sana mkuu ugenini lakini unakomaa nayo mwanzo mwisho mpaka kucheee...
Mnama unajua vibinti vya vijijini vitamu kweli maana ni halisi kabisa, wenyewe tunaita kuku wa kienyeji, havina kalikiti, mikorogo wala pafyum, unapata ile harufu halisi ya mwili wa binadamu, ukikutana navyo unaweza kusahau kwenyu.................
 
Last edited by a moderator:
Kisheria una haki aisee, ila kiuhalisia haijakaa njema (Hivi kum-abandon family ni kosa kisheria? if Yes, then wataku-sue wewe sasa) :dance:
Mbimbinho mh, bora niuchune maana sijatafutwa na nadhani wameshanisahau.............
Isije ikawa kuna ndugu yake humu JF..................LOL
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi, nafikiri unatakiwa kuwa mwalimu wa malezi, maana ujanani kwako umezunguka mno na umekumbwa na mikasa mingi ya kimaisha na kimapenzi, hivyo una experience ya kutosha kushauri vijana. Nahisi lolote unalolisikia sasa la kimaisha ni kama marudio kwako, loh!
 
Mbimbinho mh, bora niuchune maana sijatafutwa na nadhani wameshanisahau.............
Isije ikawa kuna ndugu yake humu JF..................LOL

Hahahahaa, mara unaona pm za kukualika pub flani zimekuwa nyingi, ile unafika tu unashangaa unakumbatiwa., kazi kweli kweri..!
 
Mtume mbavu zangu! unko umenichekesha leo,hicho kisa kilimtokea mdogo wangu alikwenda tanga kusalimu bibi akajifanya kidume yakamkuta hayo hayo lakini yeye hakueza kukimbia ilibidi mke akaekwa kwa bibi baada ya miezi miwili akampa talaka yake.
 
Mie naomba kuuliza na sio kuchangia kiduchu dingi, I promise sitamuambia mama.

Where was I conceived?
King'asti wewe unatafuta laana ya mchana sasa,......... maswali gani hayo sasa unaniuliza hadharani....................
Nikisikia mama yangu ananipiga vijembe kwa kuimba Kizaramo, nitajua umeshasema umbea, nitakuchapa ujinga ukutoke..... LOL
 
Last edited by a moderator:
Hii imenikumbusha enzi namaliza o-level pale Ihungo Bukoba. Siku ya sherehe tukiliita bogy alikuja kupiga Bonge na vyomba vyake vya pamba musics sound.
Baada ya mziki kuna kademu nilikua nacheza nako kutoka rugie(rugambwa sec) ikabidi nikatoroshe.
tukala chochoro hadi kyaruyonga, tukashuka omumwani tukaibukia rwamishenye. deal ilikua ni kwenda guest ambayo ipo karibu na shule yao ili saa tisa usiku aingie room. tukapata chumba pale maeneo ya tanesco kibeta. tulilala kushituka saa nne asubuhi..P.T.O. mia
 
Mtume mbavu zangu! unko umenichekesha leo,hicho kisa kilimtokea mdogo wangu alikwenda tanga kusalimu bibi akajifanya kidume yakamkuta hayo hayo lakini yeye hakueza kukimbia ilibidi mke akaekwa kwa bibi baada ya miezi miwili akampa talaka yake.
Asabaya ngoja na mie nipeleke talaka , maana naweza kuibukiwa na vitoto vya wababa wengine niambiwe ni vya kwangu.............
Unajua sie wanaume tunafanya ukware halafu hatuangalii nyuma, ndio maana nina nidhamu hata humu JF, maana miaka hiyo ya 80, kama niliacha mimba huko uzaramoni, maana nilivuruga Mzenga yote, Kazimzumbwi, Mkuranga, Visiga, Kisarawe, Bonyokwa Pugu enzi hizo ni porini kweli, isije ikawa napigana vikumbo na wanangu mitaani na humu JF...........LOL
 
Last edited by a moderator:
Sasa ukileta kutishiana utaharibu dingi. Niambie tu nilikuwa conceived kwenye ngoma gani. Haiwezekani nikawa sina akili shule kiasi hichi!
I demand to know kabla sijaita kikao cha ukoo
King'asti wewe unatafuta laana ya mchana sasa,......... maswali gani hayo sasa unaniuliza hadharani....................
Nikisikia mama yangu ananipiga vijembe kwa kuimba Kizaramo, nitajua umeshasema umbea, nitakuchapa ujinga ukutoke..... LOL
 
Last edited by a moderator:
wewe lazima utakua mwandishi wa habari au unaandikaga vitabu maana topic zako ndefu mno alafu kama huja copy n paste mahali inaonyesha ni jinsi gani una muda mwingi wa kukaa chini na kuandika gazeti lote hilo...lakini unajitahidi siwezagi kusoma posts zako coz ni ndefu sana bt am sure zina ujumbe mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom