Akagando
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 533
- 116
Nilimpotezea mkuu, si unajua maisha ya ujana kizungumkuti...............!
kweli Ujana ulikusumbua,lakini ulifanya kitu kibaya ulimuachia Mkosi Binti wa Watu.
Nilimpotezea mkuu, si unajua maisha ya ujana kizungumkuti...............!
Kwa hiyo nikikuta kaolewa naweza kum sue mtu kwa kumuoa mke wangu halali wa ndoa ya mkeka eh, yaweza kuwa dili hiyo au?
Kwa hiyo nikikuta kaolewa naweza kum sue mtu kwa kumuoa mke wangu halali wa ndoa ya mkeka eh, yaweza kuwa dili hiyo au?
Mnama unajua vibinti vya vijijini vitamu kweli maana ni halisi kabisa, wenyewe tunaita kuku wa kienyeji, havina kalikiti, mikorogo wala pafyum, unapata ile harufu halisi ya mwili wa binadamu, ukikutana navyo unaweza kusahau kwenyu.................Ha haaaa hii kali ,ulikuwa mkali sana mkuu ugenini lakini unakomaa nayo mwanzo mwisho mpaka kucheee...
Mbimbinho mh, bora niuchune maana sijatafutwa na nadhani wameshanisahau.............Kisheria una haki aisee, ila kiuhalisia haijakaa njema (Hivi kum-abandon family ni kosa kisheria? if Yes, then wataku-sue wewe sasa) :dance:
Cantalisia, King'asti, Asnam, mbalu, TaiJike, cacico, Erotica na FirstLady1 marufuku kuchangia huu uzi,
Mkithubutuuu, mtanitambua......................LOL
Mbimbinho mh, bora niuchune maana sijatafutwa na nadhani wameshanisahau.............
Isije ikawa kuna ndugu yake humu JF..................LOL
King'asti wewe unatafuta laana ya mchana sasa,......... maswali gani hayo sasa unaniuliza hadharani....................Mie naomba kuuliza na sio kuchangia kiduchu dingi, I promise sitamuambia mama.
Where was I conceived?
Asabaya ngoja na mie nipeleke talaka , maana naweza kuibukiwa na vitoto vya wababa wengine niambiwe ni vya kwangu.............Mtume mbavu zangu! unko umenichekesha leo,hicho kisa kilimtokea mdogo wangu alikwenda tanga kusalimu bibi akajifanya kidume yakamkuta hayo hayo lakini yeye hakueza kukimbia ilibidi mke akaekwa kwa bibi baada ya miezi miwili akampa talaka yake.
King'asti wewe unatafuta laana ya mchana sasa,......... maswali gani hayo sasa unaniuliza hadharani....................
Nikisikia mama yangu ananipiga vijembe kwa kuimba Kizaramo, nitajua umeshasema umbea, nitakuchapa ujinga ukutoke..... LOL
Nimetubu zile zambi zangu zote na sasa nimezaliwa upya kabisa..................