Bernard Rwebangira
R I P
- Feb 15, 2009
- 99
- 2
Imekuwa ni adha na tabu ya kila siku kwa wakazi wa dar kutumia masaa mawili na zaidi kwenye misururu ya magari ambayo inachosha na kuharibu mipango mingi ya maendeleo,mimi nauliza hali hii mwisho wake lini au wanajamii hatuoni kero hii?
Mwanzo wa utatuzi wa tatizo ni kukubali kuwa hilo ni tatizo ndipo utatafuta njia za kuondokana nalo, lakini katika hili nimesikia kama mara mbili mkulu haoni kama hili ni tatizo bali "MAENDELEO" kwa mtazamo huo wadhani nani anaweza kufanya mkakati wa kuondoa "MAENDELEO" ya bongo??????????????
no one, ndo maana Pombe kafungwa spidi gavana maana alitaka kuondoa "MAENDELEO yetu"
Yaani bongo kukaa kwenye foleni masaa manne mpaka sita kwa siku na kufanya kazi masaa manne ndo maendeleo,
this is very funny
Bongo, I love you anyway.