Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,036
Story inafundisha sana ila matukio hayana uhalisia; mfano; simu unazozungumzia hapa sidhani kweli kama zilikuepo miaka kumi na tano iliopita, pili, unasema mliendelea kuwasiliana; je katika kipindi hicho hakuwahi kukujulisha kuwa ana ujauzito? Maana ujauzito ni ndani ya mwezi tu ishajulikana na ndani ya mwezi huu mlikua mkiwasiliana bado! Tatu, alianza lini form one hadi akafika form six? Ukichanganya muda uliokutana nae kisha kumpeleka shule bado haijakaa njema ila hadithi ni nzuri sana, ondoa mambo ya cmu